Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unadandia kila kitu ili upate nafuu lakini wapi 😂😂😂, yani wewe ni fala sana, kwani huwa mnatuchukuliaje.? Chakula tuzalishe sisi alafu eti kiwe bei rahisi kwenu (wanunuzi) kuliko kwetu (wazalishaji) 😂😂😂, bei ya aina yoyote ile ya chakula hapa tz ni kutokana na upatikanaji wabidhaa fulani katika hilo eneo, maziwa for example niliona Jana mnabishana eti ni sh ngapi kwa 1liter but infact maziwa kwa mfano tanga ni 700 t sh per 1liter .. tukirud kwenye unga wa ugali alkadhalika huku tz wanaonunua unga huo kwa kilo ni watu wanaoishi maeneo ya mjini tu, but normal tanzanians wa vijijini huko wao wananunua mahindi then wanasaga debe zima, alafu kundi hili ndio huwa na store kubwa sana ya chakula since hawa hawanunui kila siku, na ndio kundi la watanzania waliowengi (ndio wanaitwa watanzania maskini/wanyonge) ambao hawa ni tofauti na wakenya wa kawaida, na ndio maana hizo data za kusema kwamba sisi tuna njaa tunazikataa kwasababu sisi tunayajua maisha yetu .. maisha yetu sisi ndio tunayajua bro, njoo uone kwa macho yako achana na hizo data za uongo, akili yako ipanue hiyo sio kusoma tu vilivyoandikwa na mzungu ukaridhika
Tuonyeshe bei wacha story mingi.
 
Dar huwezipata organized residential areas kama hizi. Huko ni vituko kushoto kulia
Matajir Dar hawarundikani kwenye vijumba vya hivyo bro, wao hujenga mansions kando kando ya bahari .. njoo tembea mjini Acha kujificha porini uko na kuamini hiyo neighborhood wanaishi matajiri.. kwahyo residential areas za hivyo ni kweli huwezi kukutananazo tz kabisa
 
Sasa mbn unajichanganya, nimekupiga na hyo comments nilijua utanijibu hivyo mana akili zanu Wakenya ni ndogo, mmeegemea kwenye inferiority complex ya kuharakisha kusema tunawauzia

Sasa kama tunawauzia chakula iweje nyie ndiyo muwe vzr kwenye food security kuliko cc tunaowauzia, Wakenya hamna akili

Sent using Jamii Forums mobile app
ni kunguni kabisa
 
🤣 🤣 🤣 🤣 😱 😱 😱 the average tanzanian is a low IQ bonobo.

 
Online comments vs Reality
View attachment 2003541

Nitangulize kwanza msamaha wangu kwake Mungu!

Lah! Huyu mwamba amejichokea vibaya!

20211109_010602.jpg
 
Nawashow Kenya ikona high demand for food ju tukona a bigger economy, mtu anadhani eti shida yetu ni njaa nikama wao tumbo zao zimeundwa na chuma. Hizi food markets ni mingi na hatujahesabu zile soko za kawaida zile wamezoea.

Naivas

Quickmart
Quickmart
Carrefour in Kenya: The true price of the discounts - BBC News



[IMG alt="Naivas Supermarket on Twitter: "We are more than just a FOOD MARKET at Naivas airport view. You can find a wide range of electronics,toys and other items on the first floor. https://t.co/MBYcFJ9fPD" /"]https://pbs.twimg.com/media/EhZkvXBWsAQoHrD?format=jpg&name=large[/IMG]
Hii onyesha viongozi wenu wanaotangazia dunia kwamba Kenya ni njaa njaa na kuomba msaada wa chakula
 
Arguing with a Tanzanian, especially a brainwashed one like you, is one hell of a job. You keep throwing figures here and there to justify your stupid reasoning without even any evidence whatsoever. You are a lazy lame duck who keeps quaking without any facts.

Where did you read that malls only sell foodstuffs? And who told you that all foodstuffs in malls are packed? I have just given you an example with Naivas which has stores that sell grocery 100% (not any other products but just grocery). Are these also canned food?

And who told you that grocery products zinazouzwa in malls hazitoki kwa wakulima wa ndani? The problem with you is that you are narowing down on grocery products as if malls just sell grocery products. Again, you are coming up with questionable figures that lack any supportive documents/sources.

Hii ya wazungu kumiliki Mali Kenya is an old boring song now. Niletee list ya richest people in Kenya uniambie wazungu ni wangai. Unafikiri sisi ni kama nyie ambao warabu wanamiliki uchumi wenu?
Kwahiyo hii insha uliyoandika hapa ndio imeondoa njaa Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzanians looking at these organized Nairobi residential areas wanajiuliza walirogwa wapi!
We mwenyewe unaona kabisa huo ushuzi, au unataka tuzimulike on ground muone jinsi mnaishi kama wanyama, yn foreigners wamejenga ma apartments low quality vumbi tupu, yanaanguka daily zen useme ni organized

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom