Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kulilia yani chakula ununue kutoka bongo halafu kiwe bei rahisi kuliko kinapozalishwa .? , Unafkiri hata kama tutaweka bei ya supermarket itakua kubwa kuliko kwenu since chakula kinalimwa hapahapa.?
Maneno mengi fact zero
Eka hapa tuone mzee baba taarab mwachie mzee yusuf
 
Munauziwa aje 500ml Lato Milk 63 Bob 😂😂😂😂
Leteni hizo bei zenu za maziwa tuone.

View attachment 2000664
Nakuhurumia sana kijana. Nahisi huna exposure.
Nakuonjesha tu. Packaging ya maziwa. Halafu linganisha na utumbo ulioweka
1636194410506.png
 
We jamaa huna akili timamu, yani bidhaa za chakula zilimwe Tanzania alafu eti ziuzwe Bai ghali ndani ya nchi kuliko sehemu ambayo zinapelekwa (nje ya nchi) 😂😂😂 wewe ni chizi ..
Endeleeni kulima, kuja Namanga boarder uone lorry za TZ vile zimepanga laini na mchele. Munaleta Kenya tunafanya processing na packaging inauzwa kama grade A within the region and beyond. Kama hamjui kufanya biashara hio sio shida yetu.
 
We jamaa huna akili timamu, yani bidhaa za chakula zilimwe Tanzania alafu eti ziuzwe Bai ghali ndani ya nchi kuliko sehemu ambayo zinapelekwa (nje ya nchi) 😂😂😂 wewe ni chizi ..
Endeleeni kulima, kuja Namanga boarder uone lorry za TZ vile zimepanga laini na mchele. Munaleta Kenya tunafanya processing na packaging inauzwa kama grade one within the region and beyond. Kama hamjui kufanya biashara hio sio shida yetu.
 
Mamam yangu haya maziwa kwao ni 63
Unadhani mbona wakona supermarkets kidogo, processed food is expensive in TZ. Nimewaambia walete bei ya rice na maziwa kwa supermarket wakatoroka. 😂😂😂 Lakini ukiwaambia walete bei ya mihogo mbichi watakuja hapa kwa vishindo.
 
Unadhani mbona wakona supermarkets kidogo, processed food is expensive in TZ. Nimewaambia walete bei ya rice na maziwa kwa supermarket wakatoroka. 😂😂😂 Lakini ukiwaambia walete bei ya mihogo mbichi watakuja hapa kwa vishindo.
Sijui retail itakuwa ngapi 😂😂😂
Screenshot_20211106-134503.png
 
Hivi kwanini 99% ya roads zenu ni za njano?

Sent using Jamii Forums mobile ap
kabla sijasahau.., leo ni Manchester derby! unakula wapi bata uki watch as u cross your fingers?, najua utakaza tako mshinde ama draw am off Man city ni moto wa kuotea mbali.., nakuombea ushindi leo, masaibu yenu hii season ni mengi.., mnateswa sana! 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom