Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa wajuba bhana yanii chakula mnunue kwetu alafu kiuzwe bei rahisi kwenu kushinda bongo acheni ndoto za mchana aisee
 
We jamaa huna akili timamu, yani bidhaa za chakula zilimwe Tanzania alafu eti ziuzwe Bai ghali ndani ya nchi kuliko sehemu ambayo zinapelekwa (nje ya nchi) wewe ni chizi ..
Mqwnzako kauliza poa, wekeni bei za super market manake hata hku michele ya mitaani ipo..
 
Hawa wajuba bhana yanii chakula mnunue kwetu alafu kiuzwe bei rahisi kwenu kushinda bongo acheni ndoto za mchana aisee
Sijaona mchele wa tanzania hku mimi, emu tuambieni huaga unaenda wapi ukija hku.
Km ni mahindi tz kwnza sio main impoter wa mahindi kenya na yakija yanaenda direct viwandani
 
Hii maziwa low quality munauziwa ksh 63.
Museveni anawafinya. 😂😂😂😂

Screenshot_20211106-130852.png
 
Sijaona mchele wa tanzania hku mimi, emu tuambieni huaga unaenda wapi ukija hku.
Km ni mahindi tz kwnza sio main impoter wa mahindi kenya na yakija yanaenda direct viwandani
Mzee bei ya supermarket umeweka!? Mbona kelele mingi tu. Tuwekee bei yenu ya supermarket.
 
Mqwnzako kauliza poa, wekeni bei za super market manake hata hku michele ya mitaani ipo..
😂😂😂 Acha kulilia yani chakula ununue kutoka bongo halafu kiwe bei rahisi kuliko kinapozalishwa .? 😂😂😂, Unafkiri hata kama tutaweka bei ya supermarket itakua kubwa kuliko kwenu since chakula kinalimwa hapahapa.?
 
Muonekano ambayo mnaziona tu in Dar.. Kisumu has it all, interchanges, flyovers.., alafu mpumbavu anataka kulinganisha Kisumu na towns.., 😂 😂 😂 😂
Kisumu Dala.., won't feed some people's insecurity and inferiority complex., 😂 😂 😂 😂 😂
1636192624421.png

1636192705657.png

1636193822145.png

1636193837860.png

1636193950022.png

1636193856347.png

1636193928457.png

1636193871682.png
 
Munauziwa aje 500ml Lato Milk 63 Bob 😂😂😂😂
Leteni hizo bei zenu za maziwa tuone.

Screenshot_20211106-131813.png
 
Muonekano ambayo mnaziona tu in Dar.. Kisumu has it all, interchanges, flyovers.., alafu mpumbavu anataka kulinganisha Kisumu na towns.., 😂 😂 😂 😂
Kisumu Dala.., won't feed some people's insecurity and inferiority complex.,😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2000642
View attachment 2000644
View attachment 2000657
View attachment 2000658
View attachment 2000663
View attachment 2000659
View attachment 2000661
View attachment 2000660
Mzee unajichosha tu. Hakuna mtu asiyeijua kisumu humu JF. Labda kama kuna jambo jipya.
Hizo picha zimewekwa humu since 2017.
 
Muonekano ambayo mnaziona tu in Dar.. Kisumu has it all, interchanges, flyovers.., alafu mpumbavu anataka kulinganisha Kisumu na towns.., 😂 😂 😂 😂
Kisumu Dala.., won't feed some people's insecurity and inferiority complex.,😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2000642
View attachment 2000644
View attachment 2000657
View attachment 2000658
View attachment 2000663
View attachment 2000659
View attachment 2000661
View attachment 2000660
Mzee unajichosha tu. Hakuna mtu asiyeijua kisumu humu JF. Labda kama kuna jambo jipya.
Hizo picha zinawekwa humu since 2017.
 
Mzee unajichosha tu. Hakuna mtu asiyeijua kisumu humu JF. Labda kama kuna jambo jipya.
Hizo picha zimewekwa humu since 2017.
hehehe.., ya Mwanza ama Arusha hiyo size iko wapi? 😂 😂 😂 😂 😂 .., Tz ya city moja.,
 
Back
Top Bottom