Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wow! What a picture? This photo is automatically becoming my screen saver from now on.
Hii vipi haiwezi kuwa screen saver yako?
JamiiForums1680847685.jpg
JamiiForums1747073703.jpg
JamiiForums-1938959982.jpg
JamiiForums1128958513.jpg
 
Mwenye anaongea juzi juzi amekuwa akisifia ikulu inayojenga design ya msikiti was kiarabu.
Kumbe hujui historia, pwani ya Africa mashariki ilikuwa na ya majengo yake hata kabla ya wageni kuja. Ukiangalia kwa makini majengo ya zamani ya Dar, Tanga na Bagamoyo utaona yana utofauti na yale ya Zanzibar. Yale ya Zanzibar yanafanana na yale ya Omani wakati yale ya bara yanafanana na majengo ya zamani ya himaya za Kilwa na Mwenemutapa.

Wajerumani walipovamia pwani yetu walishangazwa na ujenzi huo wa pwani (kwa jinzi unavyo maintain humidity and temperature, ndani) na kuamua kuiga usanifu huo wa kiafrika. Ndiyo hayo maboma ya wajerumani, yako kila mahali Tanzania nzima.

Majengo waliyojenga wajerumani kwenye makoloni yao mengine kama kule Namibia ni tofauti na yale ya Tanganyika, kule walijenga kutumia usanifu wa kijerumani (Gothic), Dar bado ina majengo machache ya kigothic mfano ni kanisa la Azania front. Kama hujui, usanifu huo wa kiswahili unatokana na kuiga usanifu wa siafu (ants) wanapojenga kichuguu (anthill). Jotoridi ndani ya kichuguu huwa halibadiliki sana kulinganisha na joto la nje.
 
Back
Top Bottom