Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kutoka whatsapp status
IMG_2694.jpg
 
Na hapo jinsi palivyo ndivyo pako hivyo hivyo hakuna filter hapo, panafariji mnoo, waafrika tupambane miji yetu ipendeze, kwanza inaongeza siku za kuishi.
Hapo bro ni pazur sana .. nikiiangalia hiz barabara alizokua akijenga magufuli najiuliz hiv huyu mama ataweza kweli au bla bla tu za mawaziri wake ndio zitatawala kama awamu ya nne.?
 
Hapo bro ni pazur sana .. nikiiangalia hiz barabara alizokua akijenga magufuli najiuliz hiv huyu mama ataweza kweli au bla bla tu za mawaziri wake ndio zitatawala kama awamu ya nne.?
Uzuri ni kwamba mzee aliacha kila kikiwa ktk hatua nzuri, so tushindwe wenyewe tu, now ndo watajua kwamba huyu ni genius kiasi gani mana miradi ilikuwa mingi na yote ilikuwa inafanywa kwa wkt mmoja na hakuna migomo ya kusema wafanyakazi serikalini hawalipwi na hakuna shida za kipuuzi kwa wananchi km kukatika katika kwa umeme na wala hakuwa anasujudia mabeberu.

Mzee alituasa mapema kama tuna shida tuseme mapema kabla hajaondoka cz alikuwa anajua anachoongea, alikaa serikalini kwa miaka ishirini kabla hajawa Rais, alikuwa anajua rangi zote za wana CCM.
 
Hii wamechemsha aisee although ni better kuliko vile vibanda vya mantilie ila
Wamechemsha kivipi mkuu, hivyo vipo kwenye mpangilio mzuri unaoleta mandhari ya kuvutia, hapo ni lazima pajengwe vibanda temporary km hvyo cz hyo ni fukwe pia ni muhimu kuleta utofauti na beach zingine duniani ili picha ikiwekwa ujue kwamba hapo ni wapi.
 
Back
Top Bottom