Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa mafundi wako speed kinoma 👇
IMG_20211030_132412_120.jpg
IMG_20211030_132054_330.jpg
more 👇oya wewe DSM itasumbua sana
IMG_20211030_124546_271.jpg
IMG_20211030_125150_003.jpg
any time soon tegemea uzinduzi wa hili daraja 👇
IMG_20211030_125226_819.jpg
 
Youths on Friday took part in the beautification of Nairobi streets through art and symbols near the Kenya National Archives.View attachment 1991624View attachment 1991625View attachment 1991626View attachment 1991627View attachment 1991628View attachment 1991629
Sasa hivi baada ya magufuli kufariki mnaweza kutupiga bao maana magu alisababisha serikali ya kenya kuamka ili kukimbizana naye kama brt ,sgr ya umeme ,baada ya kuona inapoteza mambo mengi kwa tz mpaka bomba la mafuta ya uganda kupitia tz badala ya kenya na yule COW wa sgr kufa ,kwa sasa tz hatuna Raisi labda 2025
 
Wataalam naomba kuuliza, nimepita pale kwenye flyover ya Chang'ombe km nusu saa iliyopita hakuna ht fundi mmoja site, any idea nn kinaendelea pale?
any positive information would be very helpful.
Mm nilishaongea humu tangu last week but kuna jamaa akanivamia na comment ya kunituhumu naendekeza legacy, alisema mafundi wapo wanachapa kazi.
 
Back
Top Bottom