Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio yenu ni kufika penye Kenya ilifika 2012.
You need a GDP per capita of $1036 ndio mfike Lower middle.
Kenya inatarajia true middle class by 2030. Yaani GDP per capita ya between $4,086 and $12,615
hakuna uchawi wala ndumba hapa 2025 kazi munayo😀😀😀😀😀😀
 
Wendawazimu wawili.
Ongeza Trump hapo.
bakini na mvuta bangi fisadi uhuru kenyatta na washirika wake.

ifikapo august 8,mtake msitake lazima arudi madarakani....mkileta ujinga wa kupinga matokeo,ataruhusu mungiki waingie mtaani na kuanza kuchinja wakenya kama kuku.
 
sasa mbona mnatamani JPM awe rais wa kenya angalau hata kwa mwezi mmoja?.

nikuletee uthibitisho?.

Shida kubwa na watanzania ni kujidanganya. Na hii ni part of symptoms ya poor people in general.
Saa hii, Wakenya wanaompenda Magufuli ni chini ya asilimia 20%. Mwanzoni alikuwa na supporters lakini rangi yake ya ukweli imejulikana.
 
haya tusubiri alafu tuone
hakuna uchawi wala ndumba😀😀😀😀😀
hata kwa dawa msee 😀😀😀
hivi sasa tunapigania kuwa Upper Middle Income by 2025 lakini World Bank wanasema hatutoshi. unadhani ni kuamka asubui na kusema leo sisi ni Middle Income Economy???
jichune kidogo. wacha kuota
 
bakini na mvuta bangi fisadi uhuru kenyatta na washirika wake.

ifikapo august 8,mtake mistake lazima arudi madarakani....mkileta ujinga wa kupinga matokeo,ataruhusu mungiki waingie mtaani na kuanza kuchinja wakenya kama kuku.

Kama vile nyinyi huchinja albino?
 
Shida kubwa na watanzania ni kujidanganya. Na hii ni part of symptoms ya poor people in general.
Saa hii, Wakenya wanaompenda Magufuli ni chini ya asilimia 20%. Mwanzoni alikuwa na supporters lakini rangi yake ya ukweli imejulikana.
leta facts ndugu magufuli anakubalika duniani sio tanzania tu😀😀😀😀😀😀
 
hata kwa dawa msee 😀😀😀
hivi sasa tunapigania kuwa Upper Middle Income by 2025 lakini World Bank wanasema hatutoshi. unadhani ni kuamka asubui na kusema leo sisi ni Middle Income Economy???
jichune kidogo. wacha kuota
haya tusubiri kwan 2025 ni mbali baba hahaha mbona tanzania inawakosesha raha hvo
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
haya tusubiri kwan 2025 ni mbali baba hahaha mbona tanzania inawakosesha raha hvo
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
si vibaya kuota. mukiingia Lower Middle Income sisi tutakuwa tuko Upper Middle Income... so bado tutawaponda tu. muko nyuma sana
 
Unajifanya msomi na huelewi context.
Kenya aims to achieve middle income status in 2030. Ndio maana tuna Vision 2030.
Saa ii tuko lower middle. Yaani tumetoka LDC lakini hatujaingia middle income vizuri.
yaani wewe leo umeuwa wakenya wenzako wote......umebifurahisha sana ....wasalimie
COLLO
LAMLEE
EL MATADOL


bila kumsahau kenyatta dah umenifurahisha sana


ati •HAMJAINGIA MIDLE ECONOMY VIZURI• ila mpo DC

kalale tu mkenya
 
2025 tanzania has a vision of middle economy😀😀😀😀😀😀
ila umemuelewa lakini huyo jamaa yaani anakuambia kama hawajaingia middle economy vizuri

asa maana yake nini....hafu wanajiita DC sio siri kanifurahisha sana..
 
Ajira zinamwagika bongo. Kenya unemployment is 48%

DFpv4ZNXkAAw2VS.jpg



DFpv6-9WAAUbBZJ.jpg
 
Kwanza kabisa, don't charge them $190 billion. Pesa ambazo Acacia haijawai tengeneza maishani mwake.
La pili, established institutions should administer fair justice. Hakuna investor hupenda nchi ambayo President anaweza ropoka anytime.
sawa tutawaacha kisha tutamwambia raisi aache kuropoka yaani mtu akiiba .....hatutomdai...

asante sana kwa kuja
 
Back
Top Bottom