The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hehehehee wakati huu uzi unaanza mlidhani tunatania, tulikuwa hatusikii habari za kufanya miradi yenu kmy kmy now baada ya kuona sindano zinazidi mnaanza kuongelea mambo ya kmy kmy kwamba cc tumekuwa wageni na tabia za wakunya, jana tu mlevi wenu kapiga picha na Biden mmepost usiku wa saa tisa kwa kihelehele na kupenda sifa za kijinga, eti leo mnafanya miradi kmy kmy iko wapi sasa hyo miradi ya kmy kmyJamaa kumbe wamejisahau, nakwambia watakuja kupatwa na mshtuko wa moyo walai








leo niko upande wao.. muwatoe hawa Al Ahyl Merowe ya Sudan
kwa kuwafunga both legs.. mkiwatoa mtapunguza uwezekano wa Sudan kuwa na points nying wanapoingia group stages.. then Tanzania tutapanda juu

