Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Funzeni mama kizungu na muache kuita watu beberu. Picha kama hizi mtazipataKwahiyo wewe mpumbavu mwaka 1998 ulikuwa hujazaliwa mbwa wewe, unanyolea chupa na bado unajiona mtoto.
Funzeni mama kizungu na muache kuita watu beberu. Picha kama hizi mtazipataKwahiyo wewe mpumbavu mwaka 1998 ulikuwa hujazaliwa mbwa wewe, unanyolea chupa na bado unajiona mtoto.
Safi kabisa, ni muhimu sana kurekebisha fukwe zetu ziwe nzuri zaidi.Na miaka miwili tz ndiyo itakuwa kila kitu kwenye bandari ,tuendelee kumsukuma huyu mama ajenge dar iwe kivutio cha utalii pia kuanzia fukwe ziboreshwe
Hao wote ni makuku tu ,siunaona nembo ya serikali ya kenya kuna kuku
Makubaliano yoyote yale ni kifo kwa KQSasa mkikataza ndege zetu kuja huko unategemea sisi tutaruhusu KQ kuja kwetu?, Kumbuka kwamba ATCL haitegemei routes za Kenya, ila KQ inategemea routes za Tanzania, itabidi muwe wapole mkubaliane na vile tutakavyosema![]()



Kuna Ile white elephant ambayo kila ikipokea meli moja wanapiga kelele kama WinRaR wanavyo fanya mtu akinunua software yao.mombasa wamekimbiwa![]()



atakuwa Uhuru tu! hii maneno!mama anasema kesho atakuwa arusha.. na huko atampokea Rais wa nchi jiran.. Rais nan huyo?na kuna ishu gan
your ancestors have been singing that same chorus for decades but "soon" never comes.Result will be out soon....then we will know who talk gibberish...fool
Ukiona hujibiwi ujue tumekupuuza tu Ila sio kama Marais wetu hawakutani na viongozi wa kubwa duniani, Owky 👇. 👇 Nyerere in white househttps://youtu.be/aF3CHxwhObE. Nyerere alikua akipokelewa kwa heshima duniani kote hii London 👇. Heb Angalia hiyo heshima anayopewa great thinker, ambae mpaka leo dunia inasoma falsafa zake 👇. Na hata viongozi wetu wakisogea kwenye conference zenu huwa ni waalimu wa namna tutaindeleza Africa Tony254 njoo ujifunze hapa wew utawaelewesha wenzako.. pita hapa👇Funzeni mama kizungu na muache kuita watu beberu. Picha kama hizi mtazipata View attachment 1975180
Ni vitu vingapi tunawapiga gap sasahiv.?your ancestors have been singing that same chorus for decades but "soon" never comes.
your problem is that you grossly underestimate Kenyans and you never learn your lesson.