Wang Yi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2021
- 209
- 457
Chezea mzimu wa Magufuli wewe! Lazima chifu Hangaya akamilishe tu miradi yote iliyoasisiwa na Magufuli vinginevyo hatakuwa na amani na urais wake kamwe!Mama kagundua magufuli hakuwa mbaya ila mtu usipokuwa kwenye kiti cha uraisi uwezi kujua nini kinasababisha kuwa vile alivyokuwa mkali sana kwa wafanyakazi wa serikali ,pia mama kajua legacy ya magufuli siyo ya kushupazia shingo inaweza kuvunjika

