Ya maiti? Who does that?Kwani hamkupiga hata picha ???
You.Ya maiti? Who does that?
Porojo za kisiasa,we kwa akili yako mambo aliyofanya mama miezi 6,nani mwingine alifanya?Mama
Mama kakiri hadharani viatu vya Magu ameshindwa kuvivaa
Mama hamna kitu 🤔🤔😄😄hayo ndiyo mambo tunayotaka,,ngoja nishushie kilimanjaro lager kidogo kwa room,japo mguu bado bado,,
Bwahaha!!english medium kenya bure mzee, yani huo ndio mtaala wetu nyie kwenu dili..Waongopee hao hao,eti kunyaland english medium ni bure,na jamaa zangu ni wamiliki hizo shule TZ,mshahara wa mwl wa kikunya auzidi dola 300 sasa kama huko kwenu dola 300 mtonyo wa pesa ndefu basi poleni sana,halafu hiyo mentality yenu eti walimu wa kikunya wanakuja kufundisha kiingereza ishapitwa na wakati
A czech company sio? Ila Škoda is a subsidiary of VW Group!
sina uhakika aisee unfortunately TRC wako na usiri sijui kwanini? Hiyo locomotive ya kwenye picha inakaa kama order ya kwanza ya end of November ambayo haitakuwa na EMUs!so hawa hawahusiki na zinazokuja November.. hawa subcontractor wa contractor Hyundai wale wa mkataba wa pili
Hyundai Rottem wamewa-subcontract Škoda! Hii kampuni ni nzuri pia maana treni zao zipo all over Europe na ni party of Volkswagen group (the largest automobile company in Europe).
View attachment 1971707
.. hayo maneno Dar-Makutopora utapata maana ya kwamba sio kwa hizi zinazokuja NovemberTRC wanazingua.. huo mkataba wa kwanza hawajasema vichwa au behewa vinatoka wap exactly