Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ingekua hivyo walimu wa kunyaland wasingekimbilia Tanzania kutafuta kazi,mtu atoke kwenye mshahara mkubwa aende kwenye mshahara mdogo!
Ingekua tena..
Alafu kuhusu tz mbona mi pia nikipewa mchongo wa hela ndefu wa private school nije nifunze english medium naja...
Au unajitoa ufahamu km tz shule za english medium dili, utakuta mtu anatoa mtonyo wa maana mtoto wake kusomea hzo shule wakati kenya bure ndio manake mnaleta watoto wenu huku
 
IMG_3681.jpg

The Mighty Dar es Salaam
 
Ingekua tena..
Alafu kuhusu tz mbona mi pia nikipewa mchongo wa hela ndefu wa private school nije nifunze english medium naja...
Au unajitoa ufahamu km tz shule za english medium dili, utakuta mtu anatoa mtonyo wa maana mtoto wake kusomea hzo shule wakati kenya bure ndio manake mnaleta watoto wenu huku
Waongopee hao hao,eti kunyaland english medium ni bure,na jamaa zangu ni wamiliki hizo shule TZ,mshahara wa mwl wa kikunya auzidi dola 300 sasa kama huko kwenu dola 300 mtonyo wa pesa ndefu basi poleni sana,halafu hiyo mentality yenu eti walimu wa kikunya wanakuja kufundisha kiingereza ishapitwa na wakati
 
Waongopee hao hao,eti kunyaland english medium ni bure,na jamaa zangu ni wamiliki hizo shule TZ,mshahara wa mwl wa kikunya auzidi dola 300 sasa kama huko kwenu dola 300 mtonyo wa pesa ndefu basi poleni sana,halafu hiyo mentality yenu eti walimu wa kikunya wanakuja kufundisha kiingereza ishapitwa na wakati
hawana market kwa sasa
 
Back
Top Bottom