Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji23][emoji23]yani wadanganyika ni wabishi hadi kwa kaburi. Sasa magufuli ana advantage gani kushinda chokora manzese? Chokora au ombaomba yeye yuko hai mwingine yuko jehanamu.
Unataka kujua umuhim wake, anza kwa kujiuliza nikitu gn kinafany mat**k yakuwasha juu yake mpka kulala huwezi bila kumtaja[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]fukara la kikunya
 
Sitaishi milele lakini sitakufa kwa kua mjinga kama mzoga wa chato View attachment 1971409
Mbona km manzi hivi[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] , unahangaika na mwanaume mwenzio kama alichukua mkeo
Bila shaka utakuwa unafany kazi utali au nduguzako[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mana unamaumiv mpka makalioni
 
Magu ndiye bure kushinda kunguru maana ashakufaView attachment 1971454
Ona ulivyo mafiii...kama ni bora ww , toka lini mtu timam akatumia nguvu kumwelezea mtu asiye na mana? Hapo ndio utakapo jua fukara anaongelea watu na genious anaongelea ideas...wala usijiulize unajua fungu lako apo[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dead in Nairobi hospital
You wish, except that's not the truth and we know that [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] akuna official atakuja uko katu subirieni lissu aje ndio muonge[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ingekua hivyo walimu wa kunyaland wasingekimbilia Tanzania kutafuta kazi,mtu atoke kwenye mshahara mkubwa aende kwenye mshahara mdogo!
Ingekua tena..
Alafu kuhusu tz mbona mi pia nikipewa mchongo wa hela ndefu wa private school nije nifunze english medium naja...
Au unajitoa ufahamu km tz shule za english medium dili, utakuta mtu anatoa mtonyo wa maana mtoto wake kusomea hzo shule wakati kenya bure ndio manake mnaleta watoto wenu huku
 
IMG_3681.jpg

The Mighty Dar es Salaam
 
Ingekua tena..
Alafu kuhusu tz mbona mi pia nikipewa mchongo wa hela ndefu wa private school nije nifunze english medium naja...
Au unajitoa ufahamu km tz shule za english medium dili, utakuta mtu anatoa mtonyo wa maana mtoto wake kusomea hzo shule wakati kenya bure ndio manake mnaleta watoto wenu huku
Waongopee hao hao,eti kunyaland english medium ni bure,na jamaa zangu ni wamiliki hizo shule TZ,mshahara wa mwl wa kikunya auzidi dola 300 sasa kama huko kwenu dola 300 mtonyo wa pesa ndefu basi poleni sana,halafu hiyo mentality yenu eti walimu wa kikunya wanakuja kufundisha kiingereza ishapitwa na wakati
 
Mama
Uyo muhandis Emanuel Mkembo amenichekesha [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]kila aliponge alikuw anaitaja serikali ya awamu ya 5, naona mtangazaji akamkonyesa ataje zote, akajikuta na kigugumiz na kucheka....kazi nzuri kwa serikali zote mbili[emoji122][emoji122]
Mama kakiri hadharani viatu vya Magu ameshindwa kuvivaa
 
Waongopee hao hao,eti kunyaland english medium ni bure,na jamaa zangu ni wamiliki hizo shule TZ,mshahara wa mwl wa kikunya auzidi dola 300 sasa kama huko kwenu dola 300 mtonyo wa pesa ndefu basi poleni sana,halafu hiyo mentality yenu eti walimu wa kikunya wanakuja kufundisha kiingereza ishapitwa na wakati
hawana market kwa sasa
 
Back
Top Bottom