Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

si Mlisema sisi tukimbie mpira tuwaachie nyie!alafu mnaanza kulia liaKwani wakenya ni kila kitu hapa Africa mashariki??
Kenge huwa husikii hadi damu ikutoke.

Kwa hiyo mnataka kujifananisha na Tanzania kwenye mpira?

Hamjashinda hata gemu moja mnadroo hadi na Rwanda

Nyie kwenye mpira ni farmer's league.

Usisahau pia kuwa timu ya taifa ya wanawake Tanzania leo imefuzu fainali kwenye kombe la COSAFA.

Hivi una habari kuwa bondia namba moja Africa anatokea Tanzania?
 
FB_IMG_1633190343083.jpg
Bus stand at kunyaland
 
kabisa unaweza kutapika
siyo tu kutapika unaweza kujikuta upo mirembe baada ya kushindwa kuzitolea ufafanuzi kwa ndugu na jamaa au hata polisi,ule msemo wa unacheka cheka kama kichaa kaona jalala jipya unaweza kukuhusu
 
Kama kulitokea maongezeko ya Kazi ambazo zililazimu item ya taa kufidia je? Kila mtu anafahami bajeti ya miradi ya serikali huwa ni fixed Sana na huwezi kadiria nini utakikuta baada ya kuanza ujenzi..

Barabara ya njia Kibaha imesimama kwa sababu ya Kazi zilizoongezeka na kulazimi kuomba pesa upya serikalini.Yeye angeomba taarifa ya Kwa nini taa hakuna,kwa sababu hata asipozindua kama hakuna pesa hakuna taa itawekwa.
Wevuzi tuliza tako
 
Back
Top Bottom