Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kulia Lia weka hesabu we mbuzi au mwambie huyu hapa chini ajusaidie

View attachment 1963047

View attachment 1963048
We ndugu kuwaga na staha, ukitaka kuusema ubaya wa JPM mzee ongea uwezavyo lkn rudi angalia clips zote za JPM Since Campaigns mpk anakuwa Raisi na mpaka za msiba wake halafu jiskilizie rohoni utakuta unakuja hapa kupost kinyume na ulichokisense rohoni mwako, that's why, tunakuangalia tuuu, kisha tunasema inhiiiiiiii.... Utamkumbuka tu iwe kwa kutaka au la!
 
Mods kima huyu anatukana fanyeni yenu..

Utakufa kwa pressure wewe msukule..

View attachment 1963050
Fika hapa kwanza
images%20(7).jpg
Screenshot_20211005-003840.jpg
 
Ila mbeya nahisi magorofa yanaweza kuwa sawa na Manispaa ya Moshi tu au
Hiii wacha utani! wacha kuropoka mzee, Mbeya hamna mpango miji kabsaaa tena nashangaa kunaitwa jiji! Fedha ipo ila nadhani mentality ya wahusika! Yani Kilimanjaro hata vijijini kumepangika bomba kuliko Mbeya city!
 
We ndugu kuwaga na staha, ukitaka kuusema ubaya wa JPM mzee ongea uwezavyo lkn rudi angalia clips zote za JPM Since Campaigns mpk anakuwa Raisi na mpaka za msiba wake halafu jiskilizie rohoni utakuta unakuja hapa kupost kinyume na ulichokisense rohoni mwako, that's why, tunakuangalia tuuu, kisha tunasema inhiiiiiiii.... Utamkumbuka tu iwe kwa kutaka au la!
Rohoni mwangu 😝😝😝😝
 
Mkiambiwa acheni machinga wapambane ila muweke mazingira yao vema oooh mwendazake, mnafikiri king'amuzi wataokota we Opportunity buana
Hatutaki machinga tunataka wafanyabiashara,machinga ni matokeo ya sera za Uchumi zilizofeli za Mwendazake.

Machinga anafaida ipi zaidi ya kuchafua mazingira?

Machinga unakuta nje ya ofisi anapika, barabarani anapanga bidhaa yaani popote pale yeye anafanya..

Tunajenga uchumi mkubwa wa enzi za JK Ili Machinga awe mfanyabiashara na watu wapende kujiajiri kama enzi zile,awamu ya tano hakuna mtu alitaka kujiajiri bali kuajiriwa na Serikali kwa sababu uchumi ulianguka..

Kila kukicha ni habari mpya za uwekezaji 👇

Screenshot_20211004-144019.png


Screenshot_20211004-144034.png


Screenshot_20211004-215703.png


Screenshot_20211004-215102.png


Screenshot_20211004-214937.png
 
Kwahyo wewe jamaa unataka ndani ya familia ya watu kumi kila mtu awe na kisimbuzi chake!?? #Zero brain
Hii nchi ina malazy wengi yaani hao wenye visimbuzi ndio angalau ni productive..

Unatakiwa ukubali kwamba hiyo taarifa ya TCRA imetoa picha halisi ya umaskini wa Tzn no matter what,this is bitter truth.
 
See how your fool...first dont ever try to learn how to insult some one though me kid, second the only way to say the truth is as if you were in the event, if not better to shut the fck up...and 3rd we dont give a dem about you forks...your fellow have been here for real long time,ask them if they experience that rabbish you try to slit here
Man stick to Kiswahili tu 😂 😂 😂 😂
 
Wachaneni na Opportunity Cost. ni ninyi ndo mnafanya kumchokoza. Mi nampenda Oppnty Cost, coz yee ni mtanzania msema kweli. na msema kweli siku zote huwa hakubaliki. but yee atazidi kuwatifua na ukweli kila leo, kila uchao
Hawa si Wana chuki na Chief Hangaya na kwenye mioyo yao wanapenda Sana afeli ndio maana wanamtukana mara waseme hamna kitu nk..

Wanataka propaganda za kumpamba mnyapara wao ziendelee na kuonyesha wengine hawawezi kufanya chochote.

Hao misukule ndio waliaminisha WaTzn kwamba previous regimes did nothing hususani JK era wakati si kweli.

This time around wanaona Serikali imepuuza mambo ya kijinga ya Mwendazake sasa wanapagawa.Na hao wapuuzi wanajaribu kuiaminisha jamii kwamba mtu was killed.

Unfortunately mimi Niko hapa kufanya counter attack matata Sana nikiona Chief Hangaya anadhalilishwa,na najibu mapigo kwa kuonesha failures za Mnyapara wao na Kwa lugha kali inayowauma na kuomba msaada kwa mods..

Ukifuatilia posts zao humu wanaongoza kutukana sio tuu mimi hadi nyie Wakenya wanawatukana Sana na kwao ukweli hawako tayari kuusikia sasa mimi nitawapa ukweli whether unatokea Tzn au wapi.
 
Back
Top Bottom