Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo ndipo mama anapo anguka anashindwa kuweka mkazo kwenye vitu vya msingi au propaganda za msingi za kuiletea nchi maendereo ya haraka ana angaika na kumfurahisha mzungu ,mambo ya chanjo tulitakiwa tubule subira faida ingekuwa kubwa
1 tungepata uhakika wa chanjo bora na uhakika wa matumizi bora yaani mtu mwenye sifa zipi achanje na asiye na sifa zipi asichanjwe
2 bei ingekuwa ndogo maana asilimia kubwa ya wazungu na watu weupe wangekuwa wamesha chanjwa ,bei ingeshuka hata chini ya 80% ya bei ya sasa
Hajawahi mlazimisha mtu chanjo.
Hajawahi weka lockdown wala curfew...hivi siku akilazimisha watu chanjo pamoja na kuweka lockdown na curfew si mtamtukana mitusi yote!
 
Acha ubishi dogo
Vip mbona picha ulizo piga nairobi uziposti tuzioneulituambia ulienda kula bata nairobi mimi nilijua tuta kukoma na mapichapicha maana wa kunya kwa mapicha picha amjambo au ulipigwa ngeta na wakora wa kibera wakachukua camera
 
Wale wakenya wawili waliondungwa visu hadi kufa wakiwa wanakula bata huko Bongo, vipi, sio xenophobic attack hio, au kwa vile ni Wakenya huwa mnajifanya hamnazo?
Ukiwa huna point its better to zip your mouth, this incidence has happened on work place , how can you compare it with a fight outbrake in the bar?
 
mpaka sura zao mbovu
yani ununue gari lako tsh mil 100 kisha unakwenda kuweka plate namba kama hilo ....mimi nikitaka kujua picha ni kenya au laa huwa natazama plate no za gari zao ...yani huu lizi kama ni kenya au la hata bila ya kuwa na benders utazijua tu zimeandikwa kama vitabu vya chekechea
 
Hajawahi mlazimisha mtu chanjo.
Hajawahi weka lockdown wala curfew...hivi siku akilazimisha watu chanjo pamoja na kuweka lockdown na curfew si mtamtukana mitusi yote!
Huyo anaelekea huko kulazimisha watu chanjo ...ila kwenye lock down tushukuru mungu raisi alikuwa magufuli kile kipindi kovidi inaingia la angekuwa huyu mama ndiyo mgejua kuwa magufuli alikuwa vizuri kichwani tungepigwa lockdown uenda kuliko nchi yoyote duniani polisi wangeua watz wengi sana
 
kweli ww zuzuz...hata utani hujui ...pia ata ingekuwaje huwezi tuletea opinion ya mtu ndio iwe conclution wacha ujinga
Hakuna Cha utani hapo, lisemwalo lipo. Hata ukatae, hizo ndo facts kutoka kwa wabongo wenzio kwa ground. Sawa tu na pahali popote pale, kuna uhuni wake mpaka uelimishwe jinsi ya kukaa. Ati utani, wewe baki hapo ila ujue uhuni mnao na hutoisha hadi kiama! Kajinyonge sasa au ulie! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Huyo anaelekea huko kulazimisha watu chanjo ...ila kwenye lock down tushukuru mungu raisi alikuwa magufuli kile kipindi kovidi inaingia la angekuwa huyu mama ndiyo mgejua kuwa magufuli alikuwa vizuri kichwani tungepigwa lockdown uenda kuliko nchi yoyote duniani polisi wangeua watz wengi sana
Saivi ufukara pengine ukezidiii zaidi
 
Hakuna Cha utani hapo, lisemwalo lipo. Hata ukatae, hizo ndo facts kutoka kwa wabongo wenzio kwa ground. Sawa tu na pahali popote pale, kuna uhuni wake mpaka uelimishwe jinsi ya kukaa. Ati utani, wewe baki hapo ila ujue uhuni mnao na hutoisha hadi kiama! Kajinyonge sasa au ulie!
pole kwa maumivu ....apo nirobary kitu mnajua ni kulala kwa slums plus kuiba cm
Wacha kenyata awanyoshe
 
pole kwa maumivu ....apo nirobary kitu mnajua ni kulala kwa slums plus kuiba cm
Wacha kenyata awanyoshe
Bora kulala kwa slums na kuiba kuliko kuwa mwanga/mchawi na kula albino! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom