Kuanzia Twitter, hadi JF ni kilio tu, halafu wanajifanya ati hawajui, Duh, nchi balaa hii. Sikushagaa walipokana kuwa hakuna Covid, haya sahi je? 😂Jamaa kumbe wana maisha magumu sana walai..
Siijui vile lakini kaka zako wenye kutoa real life kwa ground wanaijua, ama pia utawaruka useme ni wamsumbiji na wanyarwanda hao??? 😂 😂 😂 😂Wewe DSM unaijua???🤣🤣🤣🤣🤣🤣
List of gangs in Nairobi 🙂DSM si ni ile ile tu mzee baba na panya rodi ni wale wale..
Kwanza vibaka wa manzese, we acha2
Mpaka majina ya nyimbo za gengetone! Umeisha wewe! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣List of gangs in Nairobi 🙂
Gaza -kayole
Takataka-zimmerman/
Usiku Sacco
Wagenge-korogocho
Lamba lolo-kisumu ndogo
Tsunami
Al Pacinos
Etc etc
🙂🙂🙂🙂
Nimekuuliza wewe narudia tena DSM unaijua apart from maneno ya kuambiwa maana Mimi Nairobi naijua mitaa yote ya slums nimefika nikimaanisha easltands nashukuru kazi yangu 🙂Siijui vile lakini kaka zako wenye kutoa real life kwa ground wanaijua, ama pia utawaruka useme ni wamsumbiji na wanyarwanda hao??? 😂 😂 😂 😂
Halooo, wabongo wakilia jua kuna jambo! Ni hayo tu! 🤣 🤣 🤣Nimekuuliza wewe narudia tena DSM unaijua apart from maneno ya kuambiwa maana Mimi Nairobi naijua mitaa yote ya slums nimefika nikimaanisha easltands nashukuru kazi yangu 🙂
🤣🤣🤣🤣🤣aisee majina ya Gangs za Nairobi 🙂Mpaka majina ya nyimbo za gengetone! Umeisha wewe! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Gengetone bhana, wacha aibu ndogo ndogo! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣aisee majina ya Gangs za Nairobi 🙂
LNG Plant on offing.hawa si ndo wenye offshore gas blocks (vitalu vya gesi) kule Mtwara na Lindi?
Aibu ndogo unaijua kariadudu?,mandrakos, Balkans?,mowlem? K.c.c? We unafikiria nafanya guess work?Gengetone bhana, wacha aibu ndogo ndogo! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hivi unawafahamu - Nyange Nyange, Vibaka wa Ukonga, Madereva wa Noah, Vicheche??? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hao wote wa Tz... Tena bado!Aibu ndogo unaijua kariadudu?,mandrakos, Balkans?,mowlem? K.c.c? We unafikiria nafanya guess work?
Peace index 2020Hivi unawafahamu - Nyange Nyange, Vibaka wa Ukonga, Madereva wa Noah, Vicheche???Hao wote wa Tz... Tena bado!









Duuuuh we kweli unalazimisha tufanane🙂Hivi unawafahamu - Nyange Nyange, Vibaka wa Ukonga, Madereva wa Noah, Vicheche??? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hao wote wa Tz... Tena bado!
Nendeni mkadai pesa zenu toka kwa Kenyatta family, punguzeni upuuziUmeumwa kweli, haya kaugulie mbele mbele!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umamaliza mkuu 🙂Peace index 2020
Tanzania 54
Kenya 124
![]()
Masaki haina sufficient tarmac!, funny roads, a mix😳 the richest neighbourhood in Dar and the whole Tanzania
![]()
.,

uko serious?