Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
huyo ni wakumuenjoy tuNairobi ulinganishe na DSM kwenye issues za insecurities? Wadanganye wenzioIla sio Sisi!





huyo ni wakumuenjoy tuNairobi ulinganishe na DSM kwenye issues za insecurities? Wadanganye wenzioIla sio Sisi!





🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka Sana ana force tufanane🤣🤣🤣🤣huyo ni wakumuenjoy tu![]()
Oya bro, sio mm nimetoa tahadhari, ni kaka zako wabongo, so kama unaumia sana kawafuate hao mzichape, usiniletee makasiriko yako! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Nairobi ulinganishe na DSM kwenye issues za insecurities? Wadanganye wenzio🙄🙄🙄Ila sio Sisi!
Vitu kwa ground ni different - huyo ni m'bongo! 🤣 🤣 🤣 🤣Nairobi ulinganishe na DSM kwenye issues za insecurities? Wadanganye wenzio🙄🙄🙄Ila sio Sisi!
Tatizo we ni muongo! Unategemea platforms! Nairobi nimekaa, shirika ninalo lifanyia kazi lipo Nairobi 🙂bongo kuna wa huni wengi sijakataa na vibaka wa kawaida Sana alafu cases za hivo ni chache Sana ! Nairobi sasa🙂unaibiwa kweupe watu wanakuangalia,kaunzia Luthuli,jinvanjee,globe cinema hata hiyo moi avenue ukizubaa unakula ngeta Kuna nchi tatu partners wetu wakija wanapewa tahadhari Sana! Kenya,Somalia na CongoOya bro, sio mm nimetoa tahadhari, ni kaka zako wabongo, so kama unaumia sana kawafuate hao mzichape, usiniletee makasiriko yako! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Ukipata habari kama hizi kuhusu Tanzania niambie🙂Vitu kwa ground ni different - huyo ni m'bongo! 🤣 🤣 🤣 🤣
View attachment 1962534
travel.state.gov
So unataka kukataa hakuna uhuni kwenyu! Boya kumbe! 🤣 🤣 🤣 🤣Ukipata habari kama hizi kuhusu Tanzania niambie🙂
View attachment 1962551View attachment 1962552View attachment 1962553Kenya Travel Advisory
travel.state.gov
Ati wachache, wewe kubali yaishe, uhuni mnao tena sana! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Tatizo we ni muongo! Unategemea platforms! Nairobi nimekaa, shirika ninalo lifanyia kazi lipo Nairobi 🙂bongo kuna wa huni wengi sijakataa na vibaka wa kawaida Sana alafu cases za hivo ni chache Sana ! Nairobi sasa🙂unaibiwa kweupe watu wanakuangalia,kaunzia Luthuli,jinvanjee,globe cinema hata hiyo moi avenue ukizubaa unakula ngeta Kuna nchi tatu partners wetu wakija wanapewa tahadhari Sana! Kenya,Somalia na Congo
Hizo habari za lini mbona unajichanganya Sana jirani🙄🙄🙄So unataka kukataa hakuna uhuni kwenyu! Boya kumbe! 🤣 🤣 🤣 🤣
View attachment 1962565
View attachment 1962567
Acha ubishi dogoKama zipi?
Tupe na linkhttps://www.africanews.com/2021/09/21/kenyan-elderly-women-learn-to-defend-themselves-against-sexual-attack/So unataka kukataa hakuna uhuni kwenyu! Boya kumbe! 🤣 🤣 🤣 🤣
View attachment 1962565
View attachment 1962567
Leta hoja sio kutapatapa 🙂Acha ubishi dogo
Umnyooshe nani wewe, sina mda huo kwanzaNyanja zipi? Embu zitaje hizo nyanja.
Leo nina muda wa kukunyoosha.
Azam tv ina offer niniLeta hoja sio kutapatapa
Tunasubiri uzitaje hizo Nyanja![]()
03/09/2021Tupe na linkhttps://www.africanews.com/2021/09/21/kenyan-elderly-women-learn-to-defend-themselves-against-sexual-attack/View attachment 1962577
Wenzako akina the beat wanaiba hko mbagala we uko hapa unakenua meno