Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa hao wanabakwa na nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona wana maumbo ya kutisha kama sokwe mtu ,[emoji3061][emoji3061][emoji3061]hapo hata mashine haiwezi kusimama waache usanihii komora096 ukuje huone kituko huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chezea mkenya niliwahi kuwatembelea wanaitwa no means no kwa kweli ukiskia kesi zao utashangaa
 
[emoji1787][emoji1787]yani ununue gari lako tsh mil 100 kisha unakwenda kuweka plate namba kama hilo [emoji1787][emoji1787] ....mimi nikitaka kujua picha ni kenya au laa huwa natazama plate no za gari zao ...yani huu lizi kama ni kenya au la hata bila ya kuwa na benders utazijua tu zimeandikwa kama vitabu vya chekechea
Kanunue baiskeli kwanza, mambo ya gari la 100m yaachie wenyewe 😂😂😂😂
 
Ukilinganisha packages za wapinzani kama vile zuku TV,na what Azam is offering mfano uwezo wa hd,tamthilia ambazo wabongo wanazipenda,azam sports hd ya home,eastfafrica, international,movies na series latest pia ni advantage yani Azam offers more for a few price
Thats a fact na siwezi pingana kuhusu hilo, bt hyo ni mbinu tu ya kutafuta soko..we jiulize kwnn kw packages zile zote za azam na unafuu wake wa bei lkn kenya imebuma..
Tatizo mnavyopenda nyie wabongo na sisi ni tofauti.
 
Sasa hao wanabakwa na nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona wana maumbo ya kutisha kama sokwe mtu ,[emoji3061][emoji3061][emoji3061]hapo hata mashine haiwezi kusimama waache usanihii komora096 ukuje huone kituko huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ulitemwa, hukuzaliwa. 🤣🤣🤣🤣
 
Hapo ndipo mama anapo anguka anashindwa kuweka mkazo kwenye vitu vya msingi au propaganda za msingi za kuiletea nchi maendereo ya haraka ana angaika na kumfurahisha mzungu ,mambo ya chanjo tulitakiwa tuvute subira faida ingekuwa kubwa
1 tungepata uhakika wa chanjo bora na uhakika wa matumizi bora yaani mtu mwenye sifa zipi achanje na asiye na sifa zipi asichanjwe
2 bei ingekuwa ndogo maana asilimia kubwa ya wazungu na watu weupe wangekuwa wamesha chanjwa ,bei ingeshuka hata chini ya 80% ya bei ya sasa
Mpaka tufike huko itakua tumewapoteza watu wengi, hii kitu ni kuhusu maisha ya watu sio kuhusu Bei za mazao mkuu, lazima tuwakinge raia wetu kwa gharama yoyote kabla hatujachelewa
 
Usituletee hadithi za watu uchwara hapa hata mimi can come up with such stories concerning matatuu
Vitu kwa ground ni different! Hata ukatae, ndio hali halisi ya commoners ndani ya bongolaland! Labda Yesu arudi, ndio kubadilike! 🤣 🤣 🤣
 
Leo imekua conclusion ya mtu mmoja sio[emoji1787][emoji1787]
Zile screenshot za tweet mnazoleta tuzieteje nazo
Hii mijidanganyikaz ikikabwa koo tu, inaanza kutapa tapa na story zisizo mkia wala bichwa! 🤣 🤣 🤣
 
From Zap photography

IMG_1593.jpg
 
Back
Top Bottom