Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkapa alimtambulisha kipindi hicho kwa ni askari wake wa mwamvuli no 1
Wote 2 wako wapi? Acha wafu wazikane wao kwa wao.

Tunaenda kufanya yetu 👇

Screenshot_20210922-202442.png
 
Kwa kweli YAPI Markez nawakubali sana hasa kwenye suala ujenzi wa reli kwani wanazingatia viwango na quality ya reli za kimataifa. Tatizo lao ni speed ndogo hawako fasta sijui tatizo ni nini. Nilitamani reli yote from Dar to Mwanza wajenge wao. Ngoja tuone wachina kama watajenga kwa viwango vya Yapi Markezi.
wako vizuri sana full quality
 
Asante Sana mama ,kuna mtu alitaka kutuharibia Nchi.
Wee kijana ebu acha kutuharibia huu uzi, huu ujinga mlioanza humu siwezi kuvumilia hata kidogo, wakati tunaanzisha hii Kenyan Sub forum lengo halikuwa ni kutoa matusi na dharau kwa kila post.

With all due respect kindly refrain from these kinds of derogatory posts. Naona na geza nawe umenasa ktkhuu upuuzi pia, hebu ongoza vijana mrudi kwenye mstari.
 
Weka record ya tourism basi tujue umeweka record mpya au ya madini kenge wewe 😆😆 unatuletea chuki za kijinga hapa

Hujui hata viwanda venyewe vilianzishwa na nani hahahahahahahaha😁😁😁😁
Aise, unakula nini siku hizi, maana umekuwa mkali sana, siyo kawaida yako. Mimi huyu jamaa posti zake huwa nazipita tuu hata siziangalii.
 
Nimesahau hii: "The Art Of Making A Slave"
Hii ni barua aliyoiandikwa Willie Lynch (the making of a slave).

Kiufupi ni jinsi ya kuonesha mwanaume mweusi (ambaye ameonyesha dalili za kumpinga/kumtoroka bwana wake) dhaifu na kumdhalilisha mbele ya mwanamke wake na watoto halafu kumuua ili mama atakapo kuza watoto wake awafundishe uoga (yasije kuwatokea ya baba yao).

Hii kitu bado ipo ila imekuwa sophisticated, kwa sasa lynching ni mauaji kama ya polisi na kuwasweka jela wanaume weusi.
 
Wewe ni WA kupuuzwa,ila watu dizaini yako mnaotumia uhuru wa kujieleza kwenye mitandao vibaya kwa kukashifu na kutukana viongozi mjiandae kisaikolojia.

Onyo limetolewa na PM,Waziri wa mambo ya ndani na WA Habari na teknolojia..

Sheria ya mitandao aliyoasisi mwendazake haijafutwa,ipo nakukumbusha tuu kama mlidhani mliitunga kwa ajili ya Chadema sasa hivi ndio utajua sheria ni msumeno,endelea kutukana Rais..
Wewe mbona kutwa kumtukana na kumkashifu Hayati? Kila thread unatukana watu. Una matatizo kichwani sio bure. Napata wasiwasi Moderator wako biased na watu wa mlengo wako vinginevyo ungeshapewa ban. Wewe ndio unaongoza kuharibu hii thread.
 
Wacha maneno ya kijinga ...unaweza niambia kwanin ujenzi wake ulikwama kipindi JK akiwa madarakani?
Hawa watu wanachekesha sana. Wakati terminal 3 Magu kamalizia walikuwa wanashinda mitandaoni kupayuka sio mradi wake ni wa JK,Leo mama anamalizia miradi ya JPM all of a sudden ni Yao wote! Hebu tuache Siasa za kinafiki tuendelee na Dar Vs Nai Siasa uchwara ziende jukwaa la Siasa.
 
Back
Top Bottom