Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Give me a minute kwanza,maana naona kuna inzi za choni zimeingia kwenye huu uzi ,kwani sisi tukimsifu magufuli tumefanya kosa gani hadi tutukanwe na kudaiwa tuna msakama mama [emoji849][emoji849] wakati mama anajichafua yeye mwenyewe kwa akili zake mbovu mfano kuweka tozo za uzarendo kwa masikini huku matajili wakipeta tu ,chanjo za kovidi kakurupuka mwenyewe ,kama nilivyo sema mama anajichafua mwenyewe kwa kuikataa akili na kupractise upuuzi yaani anachuja mbu na kumeza ngamia
Halafu saizi yupo USA anapiga selfi na mange kimavi
 
Halafu saizi yupo USA anapiga selfi na mange kimavi
Huyo boya opportunity cost alianzisha upuuzi mwenyewe sasa ana anza kulia lia
Screenshot_20210922-174629.jpg
Screenshot_20210922-173840.jpg
 
Kwa kweli YAPI Markez nawakubali sana hasa kwenye suala ujenzi wa reli kwani wanazingatia viwango na quality ya reli za kimataifa. Tatizo lao ni speed ndogo hawako fasta sijui tatizo ni nini. Nilitamani reli yote from Dar to Mwanza wajenge wao. Ngoja tuone wachina kama watajenga kwa viwango vya Yapi Markezi.
Hawa Yerpi wamekuja kumzika mchina hapa Afrika kwenye tasnia ya reli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duuh inasisimua na inatia hamasa sana.
Hivi hizo investment zimefanyika katika sekta gan?
Baadhi ni viwanda ni mbolea Dodoma,Sukari maeneo tofauti na industrial parks na miradi mingine kwenye sekta za huduma,ujenzi,utalii nk
 
Back
Top Bottom