Tutawaachia jukwaa lao mana watu wanakuwa na ndimi mbili, huenda wanalipwa so now wameambiwa wakandie awamu iliyopita.
Mtu unapata wapi ujasiri wa kumkashifu Magu? Leo hii tupo kwenye hii battle kutokana na falsafa za Magu, ungewezaje kupambana na Kenya iliyokuwa imetupita kila kitu kama co Magu kukupa mdomo? Mtu anabisha mambo ya wazi kabisa kwamba mama anaendeleza alichoacha Magu, tukiwaambia watuonyeshe mradi aliouanzisha mama kama mama bado wanaleta ile ile ya Magu.
Watz wengi ni wanafki sana eti leo wamegeuka kabisa, wameanza kumtukana Magu daahhh,huu uzi umekosa ladha kabisa kwangu mana kila nikiingia nakutana na mbwa anamkosea heshima mtu aliyempa nguvu na kidomo domo cha ku comment humu.
Huu uzi ushakuwa wa kipumbavu sn, na kinachonikera mm ni mtu kukataa ukweli kisa tu analipwa buku 7, ngj muda unakuja kuwaachia uzi wao waendelee na mapambio ya uongo maana najua kabisa wengi wao wanajifanya kumsifia mama kinafki ili kuwaumiza wanaompenda Magu, yote hiyo ni sababu ya chuki na wengine ni tamaa ya vipesa vidogo vidogo.
Ndiyo maana hata speed ya ku comment humu imenipungua kwa sababu ya hawa wapumbavu wachache.