Tanesco km wanaingiza 1 trilion basi hawapaswi kuwa na vijengo vya kizamani, hv kuna watu lazima miaka hiyo ka arusha kalivokuwa ka kijiji watakuwa walihoji mbona mnajenga majengo ya gharama hv? lkn leo majengo hayohayo yanafanya kaskazini imepata city, tatizo watu hamuwazi kisa ni eneo la nyumbani mnaona km anapendelea, mnafikiri hiyo SGR itakuwa inabeba nn km sio bidhaa km hizo na wateja? lazima kuwe na city maeneo hayo. Halafu sometimes kuna vitu vya kufosi ili eneo liendelee, niwaulize je, hilo jengo la floor 70 litakalo jengwa zbar, tuseme lisijengwe huko ila lije lijengwe dar maana kuna uhakika huku? Hapo tunatakiwa kutafuta plan alitaka kufanya nn cha maana? na km hamna? tu add plan zetu hapo lazima kitakuwa na positive idea, msiingize mawazo hasi kwa kila jambo eti alijenga kwao, kwani we umejenga wapi? mnabahati mi sio raisi nachukia sana kudeal na negative ideas kila mahali, ni ajabu sana kuona mtu unatafuta negative tuu, badala ya kuadd positive things on it because vipo tu kaeni mtafakari vipo, kuna vitu vinafanywa sio kwasababu eneo hilo linavihitaji no, ila ni kwasababu ya kuvivuta vingine, nikupe mfano, sehemu zote zilimo jengwa Sgr stations, kuna mahali jengo hilo la sgr ni gharama kubwa kuliko jumla ya watu kadhaa, ss hatukujenga eti kwa sababu sgr imepita, ila kwasababu ya kuvutiavmaendeleo ktk eneo hilo, Jengo la floor 70 zbar linajengwa sio kwasababu zbar inataka jengo hilo ila ni kwasababu likiwepo jengo hilo basi haya ya floor 50, 35 nk yatakuja tu, mmenielewa?