Wewe unataka kuharibu maana ionekane tuna chuki na Mama ila ukweli ni kwamba hatuna chuki yoyote na Samia hata kidogo, akifanya vizuri cc tunafurahi mana anaipigania Tz ambayo ndiyo cc tunaishi.
Kwa mfano hicho ulichobandika hapa ni kitu kizuri na tunajivunia, cc hatuwezi kuwa wapumbavu kama the likes of you eti tupindishe ukweli kwasababu tu aliyepita aligusa maslahi yangu hata kama nilikuwa wrong!!
Wewe ndio chanzo cha kuharibu huu uzi cz huitakii mema hii nchi kwa interest zako binafsi, humu JF kuanzia asubuhi mpaka ucku wewe ni kurushiana maneno na members tu kwanini unakuwa na tabia mbaya namna hii? Yani inaonesha una gubu sana wewe jamaa.
Hakuna siku ukawa positive, wewe ni kulalamika tu na kuona unaonewa, hizo co tabia za mtz kabisa, cku zote wewe ni vijembe kama mtoto wa kike aliye kikao cha kusutana badilika, usipandikize chuki ionekane tunamchukia Rais Samia usiwe hivyo, mambo ya siasa tuliyaacha jukwaa la siasa humu tunaongelea mambo mazuri baina ya Tz na Kenya, lkn wewe kwakuwa ni mshari huwa unakuja humu kuharibu mada za humu, mara utetee Kenya mara Tz hujulikani ni wawapi, watu wa humu wameshindwa kuelewa we ni nani lkn mm nimejaribu kukusoma tabia yako nimegundua wewe una kitu kinaitwa GUBU la mawifi, kama unabisha jaribu kujichunguza maisha yako halisi utaamini ninachokwambia japo kimya kimya.