Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wee muache, keshakua kubwa la maadui kwa kumwandama staring. Mwisho wao unakua mbaya sana, siku atakayotolewa sadaka utamwona atarudi huku akiimba mapambio ya kumuenzi Magu. We subiri mkuu ntakukumbusha, anafikiri now yupo safe wakati anakuja kuwa scapegoat siku si nyingi maana mama anupiga mwingi kinoma
Tumpende Dhalimu yule Ili tuvumbue nini?
 
Juzi alisema kudra za mungu wake ndio zimempa urais, Huwezi kuongea hayo maneno especially mwanamke, kifo cha JPM kina mazonge mengi sana.
Nature ilivyo ya ajabu, hata waharibu ushahidi namna gani lazima siku ukweli utajitokeza. Unaona jinsi Ukristo ulivyochoma gospel za Maria na kuharibu kila maandiko yake but kila kukicha ukweli unajidhihirisha wenyewe. Achana na nguvu za Nature
 
Hawa wase,nge wanadhani wakimloga Magu ndio watu watasahau kumbe ndio wanaharibu. Halafu chaajabu hata raia waliokua wanamlalamikia Magu kabana pesa kipindi kile now wanamsifu maana samia anachofanya ni kuwalegezea watu wa kipato kikubwa na kubana tabaka la chini kama wanavyofanyiwa wakunya. Mfano halisi mobile txns ambazo watumiaji wengi ni tabaka la chini maana tabaka la juu unafanya txns kwa kuchanja card tu
Mlikuwa wapi kumlinda.na wale waganga wa Nigeria,DR Congo,gamboshi nk? 😄😄😄 Dhalimu alishughulikiwa vilivyo na uviko 19
 
Ivi ww uchumi ulisomea google sio? Tulifanga rebase 2019, lakini base year still tunatumia 2015 , kwanini ? Na usiniambie abari ya hali nzuri ya uchumi ndio kitu kilicho leta msulumo wa kuchagua 2015
kilaza unajaribu kulazimisha eti unaelewa.., yes u rebased in 2019, base year ikawa 2015, na hivyo ndio nakuelezea, hauwezi ukafanya rebase na hiyo hiyo same year ikawa base, how will u get correct picture? u go back some years to analyze economic activities and capture what has been added to the economy but not factored in the GDP calculations, from the base year to the present.,, kilaza wewe.., natumia lugha ya mtoto wa chekechea ili uelewe lakini unajifanya mjuaji.., your economy is poor bado(Tanzania's), kubali huo ukweli ulio dhihirika 2019 after rebase, wacheni kupiga kifua na ukweli uko wazi, jikubali mjijenge, wachana na Kenya na shida zetu.
 
Nature ilivyo ya ajabu, hata waharibu ushahidi namna gani lazima siku ukweli utajitokeza. Unaona jinsi Ukristo ulivyochoma gospel za Maria na kuharibu kila maandiko yake but kila kukicha ukweli unajidhihirisha wenyewe. Achana na nguvu za Nature
Uweke hadharani afu chukua hatua
 
Humu jukwaani kumeshakua hovyo sana, kuna mpumbavu akisikia JPM katajwa anaingia mwezini, hatuwezi kumtenga JPM na maendeleo yote yanayoendelea Tanzania kwa sasa hata nukta 1 sababu almost yote yeye ndio chanzo

Hatuoni kinyongo aliepo anavyoyaendeleza sababu hata JPM yapo aliyoyaendeleza kama Nyerere Bridge, Mloganzila, mwendokasi phase 1 na mengine mengi na yalipokamilika hakuacha kutoa pongezi kwa muasisi wa hayo

Tatizo hili jukwaa lishakua la kipimbi na sioni kama nina muda sana!
Huyo opportunity cost ya kuuza tako a achana naye ni choko
 
Magufuli influence hivyo ,Tanzania imejulikana duniani kwa sababu ya magufuli hakuna ubishi ,jamaa alikuwa natumia kiswahili tu ila dunia nzima ilimjua
Hiyo influence ilosubiri akiwa chini ya kifusi? Kwa nini jaikutokea akiwa hai? Mtaongea yote ila tunafuta legacy.
👇

Screenshot_20210921-130121.png


Screenshot_20210921-130317.png
 
Msione aibu Mkapa stadium ipo wazi kukodisha
CC: Kafrican Tony254 n Teargas
Sasa kama tunawashinda kwa 99% ya michezo yote , what are you bragging ?

Hebu cheki hapa, Juzi 18 Sep 2021tumehost World Athletics Gold championship (Kip_Keino Classic - Continental Tour) Kwenye 100m sprint, Mkenya alikua number 2 na hio time yake ndo the 2nd fastest time in the world this year....

Hebu Cheki tunavyo itumia vizuri hii stadium yetu mbovu




Fred Omanyala is now in the history books as the all time 8th fastest person in the world !!!!!

1632223482735.png







Hebu sasa nieleze, nyinyi na stadium zenu nzuri mmevunja rekodi za michezo gani duniani mwaka huu? scratch that, mmevunja rekodi za mchezo gani tangu mpate uhuru?
 
Halafu nature ilivyo ya ajabu, leo unachekelea udhalimu then miaka kadhaa mbeleni watoto wako wanakuja kulipa hilo deni kazi yao inakua ni kuto,mbwa ili wapate chakula
Dhalimu yuko chini ya kifusi ,wakati mnateka watu hamkujua kuwa anafanya udhalimu? Na baddo mtajuta Sana.
 
Mlikuwa wapi kumlinda.na wale waganga wa Nigeria,DR Congo,gamboshi nk? 😄😄😄 Dhalimu alishughulikiwa vilivyo na uviko 19
Kufa kwa Magu ni mwili tu ila kilichokua ndani yake kitahamia kwa mwingine na atakua zaidi yake kama yeye mwenyewe alivyomkamilisha Nyerere kimatendo. Na ombeni anaekuja asiwe mjeda maana patachimbika
 
Doh hebu leta jengo la Tanesco Temeke tulione! JPM alikuwa na mazuri na mabaya yake mimi alinitoa stimu kugundua haya yoote ni kwa ajili ya kuja kuimega Chato toka mkoa wa Geita yaani baada ya ku-direct resources toka Geita Town makao makuu ya Mkoa, nia yake ilikuwa aje kutoa Chato na kumega Kagera na Kigoma na kutengeneza mkoa mpya! Aiseee....


Likikamilika litakuwa hivi!



Na la Geita Town likoje?
Tanesco km wanaingiza 1 trilion basi hawapaswi kuwa na vijengo vya kizamani, hv kuna watu lazima miaka hiyo ka arusha kalivokuwa ka kijiji watakuwa walihoji mbona mnajenga majengo ya gharama hv? lkn leo majengo hayohayo yanafanya kaskazini imepata city, tatizo watu hamuwazi kisa ni eneo la nyumbani mnaona km anapendelea, mnafikiri hiyo SGR itakuwa inabeba nn km sio bidhaa km hizo na wateja? lazima kuwe na city maeneo hayo. Halafu sometimes kuna vitu vya kufosi ili eneo liendelee, niwaulize je, hilo jengo la floor 70 litakalo jengwa zbar, tuseme lisijengwe huko ila lije lijengwe dar maana kuna uhakika huku? Hapo tunatakiwa kutafuta plan alitaka kufanya nn cha maana? na km hamna? tu add plan zetu hapo lazima kitakuwa na positive idea, msiingize mawazo hasi kwa kila jambo eti alijenga kwao, kwani we umejenga wapi? mnabahati mi sio raisi nachukia sana kudeal na negative ideas kila mahali, ni ajabu sana kuona mtu unatafuta negative tuu, badala ya kuadd positive things on it because vipo tu kaeni mtafakari vipo, kuna vitu vinafanywa sio kwasababu eneo hilo linavihitaji no, ila ni kwasababu ya kuvivuta vingine, nikupe mfano, sehemu zote zilimo jengwa Sgr stations, kuna mahali jengo hilo la sgr ni gharama kubwa kuliko jumla ya watu kadhaa, ss hatukujenga eti kwa sababu sgr imepita, ila kwasababu ya kuvutiavmaendeleo ktk eneo hilo, Jengo la floor 70 zbar linajengwa sio kwasababu zbar inataka jengo hilo ila ni kwasababu likiwepo jengo hilo basi haya ya floor 50, 35 nk yatakuja tu, mmenielewa?
 
Ivi ww uchumi ulisomea google sio? Tulifanga rebase 2019, lakini base year still tunatumia 2015 , kwanini ? Na usiniambie abari ya hali nzuri ya uchumi ndio kitu kilicho leta msulumo wa kuchagua 2015
Yaani unadhani 2015 as base year inachaguliwa tu kiholela, 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ., nimekufumania, afadhali ungefyata tu, huu ujinga wako haungejulikana, sasa wewe nimekudharau na kukuweka category ya watu flani, hauniambii chochote nikuamini., uko clueless about many things.., wacha shabiki za kitoto sasa, jirudie, komaa.
 
Back
Top Bottom