toptorn
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,224
- 3,057
Chato haimegwi Prof. Tibaijuka kashaweka-stop! Yaani baada ya kujimegea kila kitu mlitaka kutengeneza mkoa mkawanyang'anye Kabanga madini yao ya nickel! Kama si ukabila, uchoyo, tamaa na ubinafsi uliopitiliza, ni nini?
Sikatai kuwa nae kama binaadamu alipata kasoro zake hususani swala la kuifanya chato mkoa. Shida ni kufumba macho na kupotosha mfano msemo wako wa mama katoa hela as if Magu alikua kaishia hapo wakati hadi plan unaijua na yeye mwenye kuimba kuifanya Dodoma kama Ulaya