ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,420
- 136,770
Kwan hujui kama uwekezaji ulipungua baada ya corona kuibuka na sasa hvi ugonjwa ushakua wa wakawaida ndio maana sahii mambo yanarudi kama awali au Hilo geni kwakoππππ yani kwa sababu unachuki ndio ubadilishe kizuri kiwe kibaya, yapo mazuri mengi aliyafanya hayati ambayo Leo hii yasingefanyika kamwe kenge weweUkweli gani wewe tumbili?
Ukweli ni huu hapa Sasa π
View attachment 1947050
View attachment 1947051
View attachment 1947052