Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania's GDP is above $70 bln! Just b'se hatujafanya rebasing haimaanishi kwamba tupo nyuma hivyo! wengine wanawinda mikopo ku-survive...!
Tanzania imefanya rebasing 2019, your GDP is just around $65 or below,.., revenue collections and income ya several sectors are evident of the size, haiwezi fika $70B hiyo ni uongo peupe, unatamani sana iwe ivyo lakini sivyo, propaganda peleka mbali, after every 5 years countries are supposed to rebase their economy to capture other sectors into the GDP according to world bank, which u obeyed, last ilikua 2014, where u rebased mkatoka kwa $30s mkaja hadi $44B., there, and then when u rebased in 2019 there was nothing meaningful to show, I remember, yaani taifa ni fukara., no additions to the GDP.., pengine muanze biashara ya gas., am sure it will add up to 20% or more.., lakini kwa sasa u maybe at %58B.., kiuhalisia.,
 
Magufuli aliwekeza zaidi ya Trillion 3 Dodoma peke yake lakini hilo hawalioni ila wanaona ofisi na hospital Chato, chuki ikiongoza akili hasara kubwa

Bandari, hospital ya rufaa, airport Mtwara, meli 4 Nyasa, barabara kilometres 300 Kigoma, miradi ya maji ya matrilioni nchi nzima, umeme kila kijiji

Ukiamua kuhesabu kila alichofanya Magufuli kila wilaya moja moja hutomaliza leo ila jengo la tanesco Chato linawatoa roho, sitokei Chato wala hiyo kanda lakini Magufuli ni the best kwenye kila idara!

Wanatumia nguvu nyingi sana kufifisha lakini hawatofanikiwa!
Khaa, ati? Hebu mention hizo investments za Tshs 3 trln hapo Dodoma! Labda unamaanisha investments za Chato+Mwanza! Kumbuka majengo ya ofisi ya serikali Mama ndo katoa fedha, Dodoma ring road na airport fedha za AfDB ndo zimetoka! Muache kutufanya sie wajinga! JPM kajenga Ikulu (kasri la Mfalme) kubwaa ya Chamwino (extragavance), Tume ya Uchaguzi, NBS, Migration na ile hospitali isiyo na lift ya Uhuru! Na zile ofisi za wizara zilizo kama shule ya chekechea! Hebu leta hizo zinazofika Tshs 3 trln! Msikuze sana mambo jamani!
 
Sitatengua kauli.
na huu mjadala wa magu vs legacy vs samia hauna tija 'tanzania ni 1 na ibaki kua1 chochote magu alichofanya alifanya kwa ajili ya tanzania ndo maana zaidi ya sanda na jeneza hakuzikwa na ndege wala silaha alizonunua au ilo jengo la tanesco!!
 
Kwanini mnaita kata yenu Wastelands? Si mngeita tu nchi-ya-matakataka au taka-nchi inasikika vizuri! Jalalani pia sio mbaya!

Wastelands 1 : barren or uncultivated land a desert wasteland. 2 : an ugly often devastated or barely inhabitable place or area. 3 : something (such as a way of life) that is spiritually and emotionally arid and unsatisfying.
Lishamba., westlands.., sio wasteland.., mkipata anything outside ya hiyo CBD yenu uchwara kama westy nahama jf..,
 
Wewe si mtoto wa mzito huwezi jua vile wakenya wenzio wanakufa njaa..

Vipi mzee atashinda coming next year election?

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
still early to tell, and I know what goes around in Kenya., mnatamani wakenya wafe, uchumi uporomoke, 2022 kukue na machafuko ya kisiasa.., nyie watu balaa, we will rule and top u forever as long as the earth remains, take it to the bank.
 
hujui kitu man'gaa wewe....
mji mkubwa wa geita ni katoro na kutoka geita hadi chato ni masaa 3:30 au na zaidi same time dar moro au msoma mwanza
vilevile kutoka chato hadi bukoba mjini kunaumbali pia
maisha ya chato ni kama mahala pengine popote panapokua tanzania ni nini mbaya geita kumegwa ikabaki na madini na chato kubaki na uwanja mbuga na ziwa ambalo pia sio lao pekeyao

hivi mbona unaumia as if chato hakustaili maendeleo?au sio tanzania?
ukanda utakuua na maa Id yako hayabadilishi chochote ngurue pori wee
Chato haimegwi Prof. Tibaijuka kashaweka-stop! Yaani baada ya kujimegea kila kitu mlitaka kutengeneza mkoa mkawanyang'anye Kabanga madini yao ya nickel! Kama si ukabila, uchoyo, tamaa na ubinafsi uliopitiliza, ni nini?


 
kama wa mama yako sio?

Hapo Chato as Chato village ukipata nyumba 1000 zina umeme nahama humu ndani!


View attachment 1946942
We kama umenuna jiandae kupasuka like tuuufffff.......🤣🤣🤣🤣🤣
sio umeme tuu hata shida ya maji hakunaga lami ndo usiseme hospital ya kanda jee? chuo cha veta jee? tra je 😂😂😂😂 af unajua nini pesa za kumalizia iyo miradi ipo
meza tofali kama unahasira sana
 
still early to tell, and I know what goes around in Kenya., mnatamani wakenya wafe, uchumi uporomoke, 2022 kukue na machafuko ya kisiasa.., nyie watu balaa, we will rule and top u forever as long as the earth remains, take it to the bank.
I know you know every move as you are so close to the corridor powers.

Your way of doing politics and your political structure which founded on the bases of ethnic groups is the one which depict the situation after elections. No one is wishing you for the worst.

Najua mkishinda nyie mambo yatakuwa Safi, mki loose means it will be total loss.. Not only politically but also.... You know...
 
Inawachukua siku 2 kutoka Nairobi mpaka Moyale (border na Ethiopia ) halafu wanakuja hapa kuweka fake figures kuhusu barabara zao. Yani jamaa wanajikamatisha wenyewe.

Kwa sasa hakuna sehemu hapa Tanzania unatumia siku mbili kufika. Hakuna!


wewe kweli unajua kutoka Nairobi hadi Moyale ni umbali upi? 967KM! kama kutoka Nairobi hadi Mombasa is around 480km., na kwa gari utachukua 9 hours, what of moyale? So kwa akili yako fupi hakuna barabara kule? mitanzania na kukurupuka hamjambo, na mtu akisema siku mbili do u think it is 48hours ama ni figure of speech kumaanisha ukianza safari leo unafika kesho yake, fanya utafiti kwanza, chunguza uhakikishe kabla ya kukimbia kupost.., mbona mnajiaibisha hivi siku hizi? wivu na chuki ni roho mbaya ya kishetani, badilikeni 😂 😂 😂 😂 😂 ., mimi kazi yangu sasa imekua kuumbua propaganda hadi ndani ya mishipa yenu.., 😂 😂 😂 😂 😂 ., mko hovyo, sio tu taifa pia ndani ya vichwa venyu kuna tatizo, kama hizi ndio fikra zenu., 😂 😂 😂

How Moyale got their road network.., road network hamtufikii..,

 
I know you know every move as you are so close to the corridor powers.

Your way of doing politics and your political structure which founded on the bases of ethnic groups is the one which depict the situation after elections. No one is wishing you for the worst.

Najua mkishinda nyie mambo yatakuwa Safi, mki loose means it will be total loss.. Not only politically but also.... You know...
Kenya iko sawa., we are woke.
 
we kama umenuna jiandae kupasuka like tuuufffff.......🤣🤣🤣🤣🤣
sio umeme tuu hata shida ya maji hakunaga lami ndo usiseme hospital ya kanda jee? chuo cha veta jee? tra je 😂😂😂😂 af unajua nini pesa za kumalizia iyo miradi ipo
meza tofali kama unahasira sana
Kuwa na adabu kuwadi mkubwa wa Chatogang! Mipandgo ya Mungu haina makosa though! Maana nina uhakika angeleta mpasuko mkubwa wa watu wa Kanda ile nchi ya Sukumagang na mpango wake wa kumega ardhi mikoa mingine!

CRDB Bank is renting her Chato Headquarters...!
D0a0j8fWoAUPrD1
 
Huwa wanajidanganya sana eti sababu wanafake gdp kubwa basi na bei na gharama za maisha zinatakiwa ziwe juu RIP Kenyas education

Unakuta mtu anaongea hivyo kwa kujitapa kabisa eti gharama za maisha kuwa juu ndio reflection ya ukubwa wa uchumi tena anakutolea mfano na Marekani

Elimu yao ndogo sana au ulimbukeni, wanasahau ughali wa maisha ni sababu serikali yao inawakamua kodi kubwa sana na gharama za uzalishaji ni juu zaidi ndio maana majority wanaishi kwenye mabanda ya bati kwa mlo mmoja
Ukubwa wa GDP unaenda sambamba na state subsidy na social welfare ambayo Tanzania leads in comparison to Kenya na ndio maana life is cheap in Tz cause the state bears the burden.
 
Back
Top Bottom