Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeongea point nzuri sana hapa mzee.
Muhimu sana kuset regulations and terms kwenye eneo lenye share kubwa kwenye uchumi wa Taifa

Sio mbaya foreigners kuinvest lakini what kind of investment landscape, Marekani yenyewe auto manufacturers wengi sio wamarekani ni granted franchises but with core upper level production investment kwamba ni foreign companies lakini sharti lazima uzalishaji wa gari from the scratch utafanyikia USA na sio assembling plant

images - 2021-09-19T115643.424.jpeg


Wa Africa alimradi muwekezaji kaja na fake over estimates zake kwenye ajira, kodi, kupendezesha mandhari and blah blah blah basi huwa tunafunguka kweli na tax holiday for 10+ years tutampa, free land, free permits, harmonized climate, levies and customs heven and other dumb packages

Kibaya zaidi hatuna hata memorandum of understanding followup programs kwa kile tulichokubaliana awali wala accountable clouses kwenye mikataba endapo havitakua realised what way forward,

Siupingi huu mradi lakini mambo ya muhimu ni vizuri kuzingatiwa
 
Muhimu sana kuset regulations and terms kwenye eneo lenye share kubwa kwenye uchumi wa Taifa

Sio mbaya foreigners kuinvest lakini what kind of investment landscape, Marekani yenyewe auto manufacturers wengi sio wamarekani ni granted franchises but with core upper level production investment kwamba ni foreign companies lakini sharti lazima uzalishaji wa gari from the scratch utafanyikia USA na sio assembling plant

View attachment 1944503

Wa Africa alimradi muwekezaji kaja na fake over estimates zake kwenye ajira, kodi, kupendezesha mandhari and blah blah blah basi huwa tunafunguka kweli na tax holiday for 10+ years tutampa, free land, free permits, harmonized climate, levies and customs heven and other dumb packages

Kibaya zaidi hatuna hata memorandum of understanding followup programs kwa kile tulichokubaliana awali wala accountable clouses kwenye mikataba endapo havitakua realised what way forward,

Siupingi huu mradi lakini mambo ya muhimu ni vizuri kuzingatiwa
Ni kweli. Lazima tuwaze kwa undani iwapo some of these foreign investments zinakuja kuuwa our local industries au la. Sio kufungua milango tu kwa yeyote anayekuja bora ni Mzungu au Mchina. Tusishabikie hawa watu sana.
 
Wacha ujinga Dar inapanuka na huwezi kusema wauze lile eneo strategic! Nimesema DAWASA inapaswa ku-invest yenyewe! Ulikuwa upumbavu wa hali ya juu Polisi kuuza eneo la Oysterbay Police! Thamani ya lile eneo ingeweza kuipatia loan benki yeyote ile na ku-invest yenyewe! Hata Mungu wenu JPM alikandia deal Police waliloingia! Uko short sighted ndo maana akili yako inakuambia kuuza! Taasisi zinapaswa kujiwezesha kwa assets zilizonazo!
Nani kasema liuzwe!!
 
Wacha ujinga Dar inapanuka na huwezi kusema wauze lile eneo strategic! Nimesema DAWASA inapaswa ku-invest yenyewe! Ulikuwa upumbavu wa hali ya juu Polisi kuuza eneo la Oysterbay Police! Thamani ya lile eneo ingeweza kuipatia loan benki yeyote ile na ku-invest yenyewe! Hata Mungu wenu JPM alikandia deal Police waliloingia! Uko short sighted ndo maana akili yako inakuambia kuuza! Taasisi zinapaswa kujiwezesha kwa assets zilizonazo!
Jamaa unaongea kike sana acha kumshirikisha mungu kwenye upuuzi
 
Back
Top Bottom