Dah watu wana moyo aisee, yn mtu anamiliki IDs tano mtu mmoja cjui huo mda anaupata wapi aiseeeHahahaha naona leo kuna jitu linafki humu nimelibutua za uso na maIDs yake fake kama utitiri
Nakucheck tu unavyuojifungulia mawindows yako na maIDs yako ulivyoyapanga kama ngogwe kwa mafungu, kila browser ina lifekero![]()





😅😅😅😅 Halafu linavyojua kujibadilisha sasa, lina comment hivi likivaa lifekero lingine linatapika sample nyingine tofauti kabisa!Dah watu wana moyo aisee, yn mtu anamiliki IDs tano mtu mmoja cjui huo mda anaupata wapi aiseee![]()
We utakuwa shoga maana sikuelewiWewe na nani mnamkumbuka Dhalimu Mzilankende?..
Kusafiri na kupanda vitu kinahusianaje? Acha Rais akatuletee pesa, nilidhani unasema miradi imesimama kumbe ni porojo.
Kwani mama kafanya nini hapoWazee wa Legacy watapinga ,watakwambia mama anasafiri Sana![]()
lazima wawe na moyo sababu hawana shughuli za kufanya ni jobless haoDah watu wana moyo aisee, yn mtu anamiliki IDs tano mtu mmoja cjui huo mda anaupata wapi aiseee![]()
Mwaka wa ngapi tuko milioni 5 tu kila siku Hawa jamaaa
Halafu we usiwe Kama panya aliyekula mtumbwi wake wa muhogoUchumi wa Kenya ni mkubwa karibu mara 2 ya Tzn,na miaka ya 2015 plus uchumi wao umekua kwa wastani wa 5 plus ..
Imagine hadi mwaka huu growth rate yao iko juu ya Tzn,haikuwa hivi miaka 5 iliyopita.
Dhalimu mzilankende ndio aliharibu uchumi,miaka yake imekuwa useless, uchumi ulianguka akabakia kuleta propaganda kwamba mabeberu wanamuonea hadi kufukuza muwakilishi wao Tzn..
Woooiiiii mambo yashaanza, tuliwaambia tukianza kuzindua msiseme hatukuwaambia







Dah yn apo ndugu zangu Uto ndio watakaotuangusha.




UnazinguaDah yn apo ndugu zangu Uto ndio watakaotuangusha.
Na njaa waliyonayo?very funny
Kenya GDP growth rate: 7.6
View attachment 1943509
Tanzania GDP growth rate: 2.7
View attachment 1943510
I’m not an economist.. no comment