Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya oneni sisi watanzania jinsi elimu ilivyotusaidia, yn tumeshaachana na Dar, now tunaijenga Dom kama Dom
Screenshot_20210918-190336.jpg
Screenshot_20210918-190348.jpg
Screenshot_20210918-190401.jpg
Screenshot_20210918-190503.jpg
Screenshot_20210918-190510.jpg
Screenshot_20210918-190517.jpg
 
Raha saanaaa nikiona makunya yakiteseka kama hivi, Yani yanachungulia alafu yatatuma mtu aje kuharibu
 
Athletes walikuwa wanasubiri ndege ya KQ ilichelewa, Gor mahia ni private team, walijitakia wenyewe kwa kutojipanga. Na kama haujawahi fika Airport, wacha nikuambie, watu hulala hata chini, kwenye viti nk, usiku mzima wakisubiri ndege za mapema, acha kuwa boya. Tembea utoe ujinga! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
huo kasarani si ndiyo huwa wanausifia hapa kila siku na kujjifanya kuwa wana host international sports,,,kwa kutuonyesha vipicha vyenye make up na kukosa na kuficha reality,,

wacha nicheke
Nyie endeleeni ku host mbio za kuruka kwa uteo, Gambosh style! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Gor mahia imekua Harambe stars, hata mfanya biashara kuwa stranded amekuwa Harambe stars??? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Unadhani team ya taifa ya Kenya haina hela ka yenyu moja ya mpira wa kikapu ilivyokosa hela za accommodation kule Rwanda hadi kutimuliwa kwenye mashindano? 😂 😂 😂
Kambale stars pia Mbona ndio shughuli zake hizo kulala chini ya mabenchi ya airport kama panya sababu ya umasikini

 
Gor mahia imekua Harambe stars, hata mfanya biashara kuwa stranded amekuwa Harambe stars??? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Unadhani team ya taifa ya Kenya haina hela ka yenyu moja ya mpira wa kikapu ilivyokosa hela za accommodation kule Rwanda hadi kutimuliwa kwenye mashindano? 😂 😂 😂
Hongera Sana kwa kuwa na hela na hiyo Harambee stress🙂
 
Back
Top Bottom