Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

901d471a12d9be799484c37130d2bbe5.jpg


Lol......developed area ni 10 sq metres. ...the rest ni watu wa kusindikiza maisha kwa nyumba za kiswahili na slums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kariakoo inakuumiza sana kichwa 😀😀😀😀😀😀😀
pole sana ndugu hio ndio kariakoo the biggest and busiest market in east and central africa
Kwa hivyo kariakoo ni soko la nyanya na viazi
 
Mtwara port yapata shavu kuhandle cargo to comoro😀😀😀😀 kweli tz ya 2017
Screenshot_20170724-143933.jpg
 
Kila kitu ni cheap in tanzania😀😀😀
Kumbuka ni sawa na 3800ksh inclusive VAT of 18% kutoka dar to mwanza na kutoka dar to mbeya na kiliamjaro
Screenshot_20170724-144524.jpg
 
Icho huu wakati mtahema sana kujaribu kukibizana na Nairobi
Kwann wakenya hua mkiskia kariakoo munakosa raha kabisa😀😀😀😀😀
Pumzika kaka umekula ugali lakini???
maana sijakusudia utoke povu kiasi hicho
 
Back
Top Bottom