ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
alaf anakufata mtu anakwambia nairobi is diplomatic citynairobi si mahala salama.kila mtu ajilinde mwenyewe.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
alaf anakufata mtu anakwambia nairobi is diplomatic citynairobi si mahala salama.kila mtu ajilinde mwenyewe.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kenya na miji yake hususani nairobi, maisha ni magumu sana....uhalifu ni mwingi kwasababu vijana wengi hawana ajira.alaf anakufata mtu anakwambia nairobi is diplomatic city
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
marktet ya kuuza mihogo, parachichi na dera/ khanga wakati Mombasa inapokea magari na watalii kutua na ma luxury cruise ships? unahitaji kupimwa akili.kariakoo inakuumiza sana kichwa 😀😀😀😀😀😀😀
pole sana ndugu hio ndio kariakoo the biggest and busiest market in east and central africa
punguza hasira AnnaWewe demu nini!? Unasema "yangu yote" mbona lugha za kike!!? Nipatie jinsia yako nijue namna ya kuongea na wewe.
heheh endelea kujipa moyo hvo hvo😀😀😀😀😀😀😀marktet ya kuuza mihogo, parachichi na dera/ khanga wakati Mombasa inapokea magari na watalii kutua na ma luxury cruise ships? unahitaji kupimwa akili.
By the way Kariakoo is just a ward within Dar city. Inaweza kuitoa jasho Mombasa mpaka hand down.punguza hasira Anna
Geza hujui Knockout ni nini??
Haha hii yote ni typing error... Have never seen such a long ass typo lol...Baaday muda Nairobi itaanza ku compete na Arusha. Achilia mbali Mwanza maana jiji la mwanza lipo kando kando ya ziwa Victoria. Kwahiyo lipo na advantage kubwa ya kuwa na mvuto.
Arusha na Mwanza ni majiji yanakuwa kwa kasi. Huku Arusha ikijinasibu kwa utalii na diplomatic city. Wakati mwanza ikijimasibu kwa biashara za madini na utalii wa ziwani.
Ukija kuangalia katika mazingira mwanza ipo na opportunities nyingi za kukua na kuwa jiji la kisasa zaidi. Wakati huohuo Arusha inaweza kupambana na Nairobi na kutoana jasho in near future.
Bila kusahau Tanga na Mtwara huku tukinogesha kibwagizo cha visiwa vinavyo nukia udi na uvumba vya unguja na pemba. Sehemu hizo in near future vitaifanya kenya ionekane kama kijijini maana hakuna namna.
Hapo sijaongelea Mbeya na beach zake zilizopo katika ziwa nyasa yaani matema beach. Huku mbeya ikipambwa na hali yahewa nzuri yenye ukijani wa kuvutia. Mbeya inasifika kwa kilimo cha mpunga. Wali wake mtamu na wa kivuti.
Bila kusahau kisiwa cha mafia kinaweza kuwafanya vijana wa Kenya waonekane washamba ki mtindo. Maana huko utavutiwa na minazi iliyopandwa kwa staha ya hali ya juu. Huku ikiongezewa mapambo ya beach nzuri na upepo mwanana unaotoka bahari ya hindi. Bila kusahau kuongelea na samaki aina ya dolphin, samaki hawa wanasifika kuwa na akili sana.
Bila kusahau Kigoma, mji ulio kando kando ya ziwa Tanganyika. Kigoma inasifika kwa uvuvi wa samaki aina ya mugebuka na kilimo ya michikichi inayotupatia mafuta ya mawese. Utamaduni wa huko utavutia wengi maana unafanana kabisa na utamaduni wa pwani ya mashariki. Utakutana na usafiri ya majini na meli kongwe kabisa iliyoachwa na mjerumani.
Kenya hakika watu wake bado ni washamba wamejazwa ujinga wa kikiloni.
It says knock down N not knock out!Geza hujui Knockout ni nini??
Unajua tafauti ya miles na square kms
Hehehe mbona umechelewa sana mzee wa iphone 7😀😀😀😀😀😀😀Unajua tafauti ya miles na square kms
sent from iPhone 7
Usipende kutokwa na povu kila muda sio vzrhahaha swimming tuachie USA Australia ana Hungary