Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,249
- 79,583
okay i get your point. Dar is paved in every corner ,congrats ,step in the right direction.View attachment 1941622na hizi hapa pia zipo under construction? Tuseme kwenye ujenzi wenu hamzingatii uboraView attachment 1941623
Not every corner we check on the quality some of the Chinese contractors need heavy supervision they can mess you up, even the engineers must be answerable for low quality roads.okay i get your point. Dar is paved in every corner ,congrats ,step in the right direction.
ujue hawa wakunya walio humu wanaweza kuhisi ni utani wanachosema wenzao ,kumbe in future huo ndiyo ukweli na ndiyo reality,,
Lisemwalo lipo kama halipo siunajua mkuu,Ila inauma Sana🤣🤣🤣🤣🤣ujue hawa wakunya walio humu wanaweza kuhisi ni utani wanachosema wenzao ,kumbe in future huo ndiyo ukweli na ndiyo reality,,
tuwape mda
mkuu ni noma ,,waambie no make up hapo ngoma ni realityTanzania
Subiri muda ndiyo jibuSasa sina mda wa kujadiliana na wapumbavu kama wewe,yule kiazi wenu Aliyekuwa anajitaka yuko wapi? ..
Kwa hiyo wewe unabishana na Rais aliyesema atagombea au? Jitokeze wewe utie Nia uone moto..au unajifariji kwa sababu umekata tamaa? Safi Sana Hangaya kawazima kama taa
Porojo tu hizo mbona hatuoni vitu live miradi ni ile ile aliyo acha magufuli the greatHaitakusaidia,wazee wa legacy unganeni na chadema kuugulia hadi 2030..
Hangaya anaongea kwa namba sio ujinga wa kujitutumua afu hamna kitu
View attachment 1941572
View attachment 1941573
View attachment 1941574
Vumbi na matope matupuView attachment 1941622na hizi hapa pia zipo under construction? Tuseme kwenye ujenzi wenu hamzingatii uboraView attachment 1941623
Naona unaumia kuona gari nzuri namna hiyo imechomekaWajinga kabisa
inabidi wanyooshwe hawa wachina hii kampuni inatuletea upuuzi
Unaposubiria wengine wafanikishe ndio uone inawezekana unakosea. Wangetangaza kuomba msaada wa mawazo kutoka kwa wananchi waone kama litashindikana. Shida ni kwamba uwezo wao wa kufikiria ukishafika mwisho wanaishia hapohapo. Ukipeleka wazo la kuachieve ishu kama hizi wanataka uwe na pesa ya kuwahongaHili swala ni rahisi Sana, bado nchi nyingi hapa duniani hasa "third word" hatujafikia huko, bado mifumo yetu ya kukusanya hizo taarifa hasa vijijini ni michanga Sana, tunajitahidi lakini bado Sana, kwasasa lazima tutegemee "census" katika kujua idadi ya watu. Mbona mnajifanya Kama ninyi sio waafrika kusini mwa jangwa la Sahara?, Kama hata maji, madawa Hospitalini na barabara & umeme bado hatujawafikia wananchi wote vijijini, vipi mnalaumu serikali katika Jambo dogo Kama hili?, Tafadhali toa mfano kwa kutaja nchi Moja tu ambayo ni "third world" ambayo haifanyi "Physical census".
Kumbe hujanielewa hata kidogo.African countries dont have capacity ya kupata data in real time kama wenzetu na hata wao bado wanafanya census pia kama Uk wana proper address system kwa kila nyumba lakini bado wanatuma forms za census kwa kila address unajaza number ya occupants including age gender and other indicators. Sasa sisi huku tusiokuwa na hata address za Nyumba zinazotambuliwa na system tunawezaje kupata hiyo information apart from census?
Wewe ndio ubongo wako umeoza kabisa ndio maana mawazo yako yanabaki kwenye confort zone. Ndio maana mtu kama Magu mwenye kufikiria outside the box ukashindwa kumuelewa kwa sababu ubongo wako hauna uwezo wa kudigest ideas zakeIla nyie kima sijui mko na mavi kichwani badala ya ubongo..Sensa ndio inaanza mwakani au?
Hili ni zoezi muhimu kwenye ustawi wa nchi na hufanyika kila baada ya miaka 10 sasa sijui nyie pimbi mnatakaje
Miaka 12 iliyopita technologia ilikwepo sema kiongozi alikua yule boya mwenzako mwenye ubongo uliooza kama wewe. Na ntaibookmark hii post yako kama nature itaendelea kuvumilia miozo kama wewe miaka 12 ijayo ntakukumbusha uone kama hawajaendelea na upuuzi huuhuu wa sensaTeknolojia ilikuwepo hiyo miaka unayoisema? Ndio maana nasema umejaa mavi kichwani,kuanzia mwaka huu ndio data base itakuwepo rasmi
December 2005 Kikwete alikabidhiwa nchi vocha ya buku ikiitwa dolla: 1USD = TZS 1,000.Lini ilipanda? Leta ulinganifu mwaka 2019 vs 2015 kabla ya kuropoka
Cheki Magufuli sasa, kakabidhiwa nchi 1USD = 2,165 miaka mitano baadae ikawa 2,327. kapoteza just 162Lini ilipanda? Leta ulinganifu mwaka 2019 vs 2015 kabla ya kuropoka
Wivu isikunyonge kaka..,zoea uchungu, vumilia, najua ni maumivu kwa uzalendo ulio nayo kwa Tanzania., pole maendeleo ya kenya zaidi ya Tz sio makosa yetu,.Hivi wakenya amuoni huo ujenzi ni kuchafua tu mji wenu ?