Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

okay i get your point. Dar is paved in every corner ,congrats ,step in the right direction.
Not every corner we check on the quality some of the Chinese contractors need heavy supervision they can mess you up, even the engineers must be answerable for low quality roads.
 
Sasa sina mda wa kujadiliana na wapumbavu kama wewe,yule kiazi wenu Aliyekuwa anajitaka yuko wapi? ..

Kwa hiyo wewe unabishana na Rais aliyesema atagombea au? Jitokeze wewe utie Nia uone moto..au unajifariji kwa sababu umekata tamaa? Safi Sana Hangaya kawazima kama taa
Subiri muda ndiyo jibu
 
Hili swala ni rahisi Sana, bado nchi nyingi hapa duniani hasa "third word" hatujafikia huko, bado mifumo yetu ya kukusanya hizo taarifa hasa vijijini ni michanga Sana, tunajitahidi lakini bado Sana, kwasasa lazima tutegemee "census" katika kujua idadi ya watu. Mbona mnajifanya Kama ninyi sio waafrika kusini mwa jangwa la Sahara?, Kama hata maji, madawa Hospitalini na barabara & umeme bado hatujawafikia wananchi wote vijijini, vipi mnalaumu serikali katika Jambo dogo Kama hili?, Tafadhali toa mfano kwa kutaja nchi Moja tu ambayo ni "third world" ambayo haifanyi "Physical census".
Unaposubiria wengine wafanikishe ndio uone inawezekana unakosea. Wangetangaza kuomba msaada wa mawazo kutoka kwa wananchi waone kama litashindikana. Shida ni kwamba uwezo wao wa kufikiria ukishafika mwisho wanaishia hapohapo. Ukipeleka wazo la kuachieve ishu kama hizi wanataka uwe na pesa ya kuwahonga
 
African countries dont have capacity ya kupata data in real time kama wenzetu na hata wao bado wanafanya census pia kama Uk wana proper address system kwa kila nyumba lakini bado wanatuma forms za census kwa kila address unajaza number ya occupants including age gender and other indicators. Sasa sisi huku tusiokuwa na hata address za Nyumba zinazotambuliwa na system tunawezaje kupata hiyo information apart from census?
Kumbe hujanielewa hata kidogo.
Process zinakua hivi, Wanatumia sensa waliyokua nayo then:
1. Kila mtoto anaezaliwa anaulizwa birth certificate kila anapopelekwa clinic ili kuforce uandikishwaji wa watoto na kupata ingizo jipya kwenye idadi ya raiwa waliopo
2. Mtu kabla hajazikwa taarifa zake zifikishwe serikali za mitaa au halmashauri au level yoyote itakayokua rahisi kufikika.
Hizi process zitasaidia kutract idadi ya watu kwa office husika hapo juu kuwa na wajibu wa kuzijaza taarifa wanazopata kwenye system.
Huo ni mfano tu. Naamini ukishirikisha mawazo ya raia au hata wanafunzi wa chuo unapata solution sahihi kwa nchi yetu
 
Ila nyie kima sijui mko na mavi kichwani badala ya ubongo..Sensa ndio inaanza mwakani au?

Hili ni zoezi muhimu kwenye ustawi wa nchi na hufanyika kila baada ya miaka 10 sasa sijui nyie pimbi mnatakaje
Wewe ndio ubongo wako umeoza kabisa ndio maana mawazo yako yanabaki kwenye confort zone. Ndio maana mtu kama Magu mwenye kufikiria outside the box ukashindwa kumuelewa kwa sababu ubongo wako hauna uwezo wa kudigest ideas zake
 
Teknolojia ilikuwepo hiyo miaka unayoisema? Ndio maana nasema umejaa mavi kichwani,kuanzia mwaka huu ndio data base itakuwepo rasmi
Miaka 12 iliyopita technologia ilikwepo sema kiongozi alikua yule boya mwenzako mwenye ubongo uliooza kama wewe. Na ntaibookmark hii post yako kama nature itaendelea kuvumilia miozo kama wewe miaka 12 ijayo ntakukumbusha uone kama hawajaendelea na upuuzi huuhuu wa sensa
 



MY TAKE
Wastage of resources Yanga hii inayoenda kutolewa round ya kwanza CAF ndo inaenda kutangaza Utalii? Kweli? Kumbe matangazo ya bure! 🙆‍♂️ 🙆‍♂️ 😅 😅 😅 🤷‍♂️ 🤷‍♂️
 
Back
Top Bottom