komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Youtong linakimbiaje kw vumbi bana[emoji1787][emoji1787]Kunyaland hamtakaa muwe na usafiri kama wa Tanzania sababu hamna barabara kama hizi
Ninyi endeleeni kujenga barabara on paperwork and numbers lakini kwa ground hamtokaa muwe na roads standard like this
Tena main road mazee kabisa nalo linakatiza kw speed ya mwanga