Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha picha zijieleze
Picha inajieleza vizuri Sana, 😂

The area is full of shacks
Inner roads are not paved

2925661_IMG_20210913_172856.jpg
 
Wewe acha ubaguzi! Kumbuka Prof. Mbarawa ndiye alisaini mikataba mingi ya Wizara kabla ya kutolewa pale! Na kama alifanya madudu mbona hayajesemwa, kwangu mimi speed yake haijafikiwa na yeyote aliyekuja baada yake! Kosa la JPM ni kupanga watu wake wa kanda pale na kujiona wao tu ndo wanaweza na kuanza ukiritimba! Kuanzia CEO wa TPA mpaka watendaji wengine wa TANROADS walipangwa jamaa wa kule na kukaanza ulaji, kumbuka mradi wa Ring road Dodoma umesainiwa zaidi ya mwaka na fedha zilitolewa na AfDB na mkandarasi kupatikana ila mpaka sasa haujaanza! haikubaliki!

mradi wa ring road haujaanza sababu ya fidia sio sababu nyingine.. mama kaongelea leo
 
Vipicha vya kuokota havikusaidii kitu, mmeshindwa kuleta Fleet hata ya gari 2 mmeanza kuiba pictures Google, leta video kama unataka tuelewane!
Hzo picha nimeiba tz
Fanya google reverse uniumbue mzee
 

President Samia's documentary attracts a delegation of 30 tour agencies to Tanzania​



TUESDAY SEPTEMBER 14 2021​

Tour pic

President Samia addressing a gathering in Moshi on her way to Marangu in Kilimanjaro region to record a the Royal Tour documentary on September 5, this year. PHOTO | STATE HOUSE


By Louis Kalumbia
More by this Author

Dar es Salaam. A delegation of representatives from 30 tourism agencies in the US, France and Lithuania are expected to arrive in the country on November 23, 2021 for a weeklong visit to tourist attractions.

The delegation has been attracted by President Samia Suluhu Hassan's on-going documentary recording dubbed: ‘The Royal Tour’ aimed at promoting the country's tourism industry.

Addressing a press conference on Monday, September 13, 2021, the Kilimanjaro International Tourism and Safaris (Kits) chairman and chief executive officer, Mr Francis Malugu said the tourist agencies represent thousands of adventure travellers.

“They have confirmed that they will arrive in the country for a one week up close and personal familiarization of the Tanzania tourism destinations,” he said.

He said President Hassan's documentary recording influenced his company to engage in a mission to attract foreign travel agencies to sell Tanzania abroad.

“After learning of the presence of the Royal Tour initiative, Kits strategically approached a number of tour agencies and received a positive response from 30 of them,” he said.

Through the visit, he said Tanzania expects to be the preference of thousands worldwide travellers who come to the continent.

He said Kits will continue informing and influencing more US tour agencies to sell the country’s tourism destination by leveraging the Royal Tour documentary that showcases the Head of State giving welcoming notes to tourists from all corners of the world.

He commended President Samia’s decision and efforts to promote the sector that like other countries has been adversely hit by the Covid-19 pandemic.

Mr Malugu said the Royal Tour documentary will be leveraged in the Top Resa show in Paris next month, the Atlanta, Georgia and San Francisco, California as well as the National Tour Association (NTA) Annual Convention in Cleveland, Ohio that is expected to attract over 2,300 UK and Canada agencies.

The Tanzania Tourist Board (TTB) acting marketing director, Mr Felix John said the delegation was a promising move to the realization of the government’s target of attracting five million tourists and collecting $6 billion by 2025.

For his part, the director of Wellworth Hotels and Lodges, Mr Sameer Ismail said his company would accommodate the delegation during their visit.

 
lbda kisa watu wengi hilo eneo .. sijui mmelewa logic yake
ila imenichekesha
Hapo alipopiga ni ramp na ni kwa ajili ya walemavu pia wale on wheelchair inapaswa wajenge ngazi pia upande wa pili (opposite ya hiyo ramp) ambayo itakuwa fupi!
 
Chuki zako ni bure!!
Haitakusaidia kitu ndugu.

Meza wembe bro....
Sina chuki, tatizo ni wewe hujielewi.

Mimi nina upendo mkubwa na wa dhati kwa nchi kuliko mtu.

Jambo pekee litakalo ipeleka nchi mbele ni mapenzi yetu kwa nchi yetu, na sio mapenzi wala chuki dhidi ya mtu.

Anza sasa kujitathmini na kujitambua.

Nchi haiko kwenye mikono salama.

Hii ni post yangu kwa Dr Makame.

 
Wewe acha ubaguzi! Kumbuka Prof. Mbarawa ndiye alisaini mikataba mingi ya Wizara kabla ya kutolewa pale! Na kama alifanya madudu mbona hayajesemwa, kwangu mimi speed yake haijafikiwa na yeyote aliyekuja baada yake! Kosa la JPM ni kupanga watu wake wa kanda pale na kujiona wao tu ndo wanaweza na kuanza ukiritimba! Kuanzia CEO wa TPA mpaka watendaji wengine wa TANROADS walipangwa jamaa wa kule na kukaanza ulaji, kumbuka mradi wa Ring road Dodoma umesainiwa zaidi ya mwaka na fedha zilitolewa na AfDB na mkandarasi kupatikana ila mpaka sasa haujaanza! haikubaliki!
Piga chini takataka zote za Mwendazake zinakwamisha mipango na upumbavu wao wa legacy..

Kadiri mda unavyoenda atawapuruni wote
 
Huyohuyo Kalemani kashindwa kurudisha negotiations za LNG Lindi na alipewa miezi sita! Mama ana haki ya kuweka mtu anayemtii pia kama JPM alivyopangua na kuweka wanaomtii tena wa kanda yake! Tuache kuhukumu na kudhani wale wa JPM ndo wanafaa tu! Nyie watu wa kanda msitufanye sisi wapumbavu kutetea ulaji wenu hii nchi yetu soote, waacha anyoroshe.....!!
Saizi alisalia kupayuka na kutoa matamko ambayo hayatekelezeki ,piga chini..bado yule wa madini na WA Sheria..
 
Sina chuki, tatizo ni wewe hujielewi.

Mimi nina upendo mkubwa na wa dhati kwa nchi kuliko mtu.

Jambo pekee litakalo ipeleka nchi mbele ni mapenzi yetu kwa nchi yetu, na sio mapenzi wala chuki dhidi ya mtu.

Anza sasa kujitathmini na kujitambua.

Nchi haiko kwenye mikono salama.

Hii ni post yangu kwa Dr Makame.


Kwani kuwa against previous regime ndio lazima awe against this regime? Regime iliyopita ilikuwa hovyo na haishirikishi,inaenda kwa matamko ,mihemko na vitisho sasa uongozi gani huo.
 
Back
Top Bottom