KHM 1995
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 461
- 731
Wewe nawewe ndiyo majizi mmerudi kazini, tena mmerudi kwa kasi kuwanyonya wananchi kwa speed ukubwa sana lakini nyinyi dawa yenu ni moja jino kwa Jino, na msituone watanzania wajinga sana,soon dawa yenu itawaingiaKwani kuwa against previous regime ndio lazima awe against this regime? Regime iliyopita ilikuwa hovyo na haishirikishi,inaenda kwa matamko ,mihemko na vitisho sasa uongozi gani huo.


