Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya majengo yanashuka tu

View attachment 1936127
This is disturbing kuskia ..within a month or two averagely atleast 1 builiding or 1 plane lazima..what id the problem with Kenya...sio kiunafiki Your goverment should look into this..its a big concern ..maisha ya watu hayo ..plus unaweza ukaja kenya ukawa hauna imani na sehemu unayokaa hasa kama ni ghorofa..
Don YF Teargas
 
Afisa wa uhamiaji hujambo[emoji1787][emoji1787]
Dozi mpka mnamfutia uraia
Jana nime download video za GB14 za nairobi du niliyo yaona [emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958]maisha kenya ni ngumu sana pasua kichwa yani bora mfungwa jela kuliko maisha ya slum [emoji2957][emoji2957] kweli nimeamini mkenya siyo binadamu wa kawaida
 
From.Twitter
Credits to that tanzanian guy
IMG_20210913_172856.jpg
 
Muundo wa Zambia Electoral Commission ni tofauti na wa Tanzania. Yes the president appoints electoral commission president but the president and the commissioners apointments have to be ratified by Parliament and reports to Parliament not anybody else.

Angalia link yao hapo chini

Hahahaha, wacha kutoa visingizio, tatizo la Tanzania ni upinzani dhahifu usiokuwa na malengo, kusubiri wagombea waliotemwa na CCM ndio kwao wanaonekana kuwa ndio Bora kuliko viongozi waliopo upinzani, "stupidity of it's own kind"
 
This is disturbing kuskia ..within a month or two averagely atleast 1 builiding or 1 plane lazima..what id the problem with Kenya...sio kiunafiki Your goverment should look into this..its a big concern ..maisha ya watu hayo ..plus unaweza ukaja kenya ukawa hauna imani na sehemu unayokaa hasa kama ni ghorofa..
Don YF Teargas
Failed state hao, wasikusumbue
 
Kama kwa akili ya mitanzania zuzu kama wewe utasema hizi za dar 👇 👇 sio slum., sasa unataka nini tena?.., Mwanza pia utasema sio slums, akili za wengi wenu zimeganda haziambiliki chochote.,tunatembea nanyi mlivyo.., so Tanzania hakuna slums😂😂😂.., tulia kaka hizi👇 sio slums..,😂😂 ni standard ya taifa kwa sasa.., mido income
View attachment 1936089
View attachment 1936082
View attachment 1936084
View attachment 1936085

Mwanza kionjo tu.., pia mie nimeona hakuna slum ni mashambani tu..,
Rock City
View attachment 1936094
View attachment 1936091
View attachment 1936092
Hizo picha ulizo weka za mwanza ni wapi hapo? Maana mwanza is my second home hizo ni picha za zamani! Hii hapa igoma na nyakato mwanza nimepiga kwa mkono wangu hizi nyumba za kawaida mwanza!na za watu wa kipato cha kawaida!
20201101_172539.jpg
20201101_163617.jpg
 
This is disturbing kuskia ..within a month or two averagely atleast 1 builiding or 1 plane lazima..what id the problem with Kenya...sio kiunafiki Your goverment should look into this..its a big concern ..maisha ya watu hayo ..plus unaweza ukaja kenya ukawa hauna imani na sehemu unayokaa hasa kama ni ghorofa..
Don YF Teargas
Hawa jamaa tamaa na ujuaji ndo inawaponza Sana siku earthquake ya juu ikipita Nairobi itakua majanga.
 
Kama kwa akili ya mitanzania zuzu kama wewe utasema hizi za dar 👇 👇 sio slum., sasa unataka nini tena?.., Mwanza pia utasema sio slums, akili za wengi wenu zimeganda haziambiliki chochote.,tunatembea nanyi mlivyo.., so Tanzania hakuna slums😂😂😂.., tulia kaka hizi👇 sio slums..,😂😂 ni standard ya taifa kwa sasa.., mido income
View attachment 1936089
View attachment 1936082
View attachment 1936084
View attachment 1936085

Mwanza kionjo tu.., pia mie nimeona hakuna slum ni mashambani tu..,
Rock City
View attachment 1936094
View attachment 1936091
View attachment 1936092
Huyu sijui ameokota picha wapi eti ni Mwanza 😂😂😂.. Mwanza hakuna mitaa ya kufanana hivyo mbweha wewe, unahangaika google kutafuta slums Mwanza na umekosa .. huijui tz wewe ..
 
Back
Top Bottom