The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,534
Dar-MoroAsubutuuu...
Hayo ndio mabasi yanayopiga route ya dar moro sio
Jamaa keshaanza kupindisha
Dar-MoroAsubutuuu...
Hayo ndio mabasi yanayopiga route ya dar moro sio
Jamaa keshaanza kupindisha
Nionyeshe kampuni inyaopiga dar moro pekeake katika pilka zake za kila siku mzee acha kupiga kelele hapaKwahiyo hua huamini, Dar-moro tu hayapungui mabasi 10, hiyo ni minimum no inaweza kuzidi,
Hizo shuttles huku Tanzania haziruhusiwi kupiga route nje ya mji, au wilaya moja kwenda nyingine.
Dar-MoroAsubutuuu...
Hayo ndio mabasi yanayopiga route ya dar moro sio
Jamaa keshaanza kupindisha
Dar-MoroAsubutuuu...
Hayo ndio mabasi yanayopiga route ya dar moro sio
Jamaa keshaanza kupindisha
Mzee wewe hakuna kitu unajua. Moi has a 53% stake in the Intercontinental hotel Kenya.Intercontinential hotel Kenya si ya Moi!
Intercontinential hotel Kenya si ya Moi!
www.forbes.com
Kuna mafisi wakubwa zaidi ya wana CCMMtoto wa sonko fisadi mwingine mpaka wakamfukuza ugavana kwq lazima
Swali lako ni la kipumbavu sana, umeomba upewe basi zinazoenda Moro from Dar umepewa, now unataka kampuni huu utoto huu.Nionyeshe kampuni inyaopiga dar moro pekeake katika pilka zake za kila siku mzee acha kupiga kelele hapa
Hehehe!!hvyo vyote vilikuwepo labda hyo "exercuse book" yakoWakati nyinyi mnapewa maziwa bure sisi tulikuwa tunapewa elimu bure uniform madaftari exercuse books na chakula bure na hospital bure
Kwhyo kw jina lingine inaitwa kuzalisha bidhaaProduction in economy inahusisha bidhaa services and tax receipts pia
Kwhyo hyo ndio kuzalisha bidhaaa sio kw jina lingine sioWewe shoga kuna kitu kinaitwa productions of goods and services, usipende kuvamia mada ambayo hujui imetokea wapi.



Mhindi tena 😂😂
Hakuna basi la dar moro pekeake, narudia tena


Hayo lazima yaunganishe route zingine mzee


Hehehe ati "exercuse books "🤣🤣🤣🤣Hehehe!!hvyo vyite vilikuwepo labda hyo "exercuse book" yako
Sitaki gari zinazoenda moro mimiSwali lako ni la kipumbavu sana, umeomba upewe basi zinazoenda Moro from Dar umepewa, now unataka kampuni huu utoto huu.


Si inadungwa sticker tu, we una uhakika gani km haijatoka kwingine ikatua moro alafu ikapewa route ya darBus inatoka Dar inaenda Moro, zen inageuza inarudi Dar, na co kwamba inatoka Dar inaenda Iringa inapitia Moro.
Hzo sisi hatukupewaHehehe ati "exercuse books "![]()
Mseng.e wewe.Hakuna basi la dar moro pekeake, narudia tena
Hayo yote yanaunganisha route zingine