Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawana investment zozote za maana, eti wanakua billionaires kwa kukadiriwa ufisadi walio fanya wakiwa madarakani na sio kwa investments zinazoingiza mapato?

Nashangaa pia ruto mnasema ni one of the prominent richest Kenyan wakati hana kitu 😅😅😅

View attachment 1932526

Sasa huyu ana mali gani? 😅
Hata wewe iba bhana, usilete stress zako za ufukara hapa! 🤣 🤣 🤣
 
Kwasasa EastAfrica greatest business competitor wa Kenya ni Tanzania because of President Suluhu,Mheshimini Huyo Mama wa Taifa she is doing great,If she will be re_elected she will Take Tanzania Further,Lakini Kuna mazezeta hawampendi sababu they can't catch up with her pace
 
Hii inanunua familia ya Moi, Biwott na jangili nginaa 😂😂😂

View attachment 1932483
Rolls-Royce Ghost Series 2 spotted somewhere in Kenya... 😂 😂 😂 😂 Mambo ya kawaida aisee 👇
Screenshot_20210910_230935.jpg
 
Why not set standards to all networks to be reliable and provide quality of service to all?

Don't you guys have the equivalent TCRA (Tanzania Communications Regulatory Authority)?

They ensure the affordability and quality of service. Otherwise una pigwa fine ya maana.
Hatuna ujamaa wa kipumbavu hku kwetu, toa huduma bora kw bei inayoendana na huduma yenyewe..
Sio eti mambo ya kupangiana bei, ndio manake private sector tz ni upupu tu
 
Mo hajamshikilia mtanzania yeyote, tofauti na ajira anazotoa na kununua mazao ya watanzania hajamshikilia mtu, ninyi kula na kulala ni kwa jeuri ya muhindi, muhindi akiamua kuweka makufuli kwenye estates zake za Nairobi, wengi wenu mtalala City toilets

Muhindi akiamua awawekee sumu kwenye unga wake hakuna mkunya atapona
Tuonyeshe kampuni kubwa ya unga tz ambayo si ya mhindi au ya maziwa
 
Gari anayotembelea controller wa 3+$ billion sasa

Hii gari huku Tanzania ni za local government aisee

View attachment 1932417
Analipwa shingapi kw mwezi
Sio unatembelea gari kubwa serekalini wakati mshahara na marupurupu hayakutoshi..
Ndio manake kenya ukiona mbunge au waziri na V8 basi ujue la kwake...
Manake sio magari wanayopeaa serekalini..

Huku V8 wanatembelea magavana na wengine wachache sana serekalini
 
Wewe mbwa hujui uchumi thus y hujui maana ya productions, unadhani uzalishaji ni bidhaa pekee, hujui kwamba services nazo ni productions.
Kuzalisha bidhaa kw maana ingine ni production of services
Jamani jamani..

Si swali lako wewe uliuliza km anazalisha bidhaa gani kibwengo, hivi umekamatwa sasa unajitia ujuaji mpka ukajikanganya..
Duh!!kwel hyo jamaa kwenywe avatar hakufanyii poa, mpka akili zimekua km sufuri
 
Tuonyeshe basi la route ya dar moro tu km unaubavu huo
Mtawadanganya wapuuzi km nyie
Kwahiyo hua huamini, Dar-moro tu hayapungui mabasi 10, hiyo ni minimum no inaweza kuzidi,

Hizo shuttles huku Tanzania haziruhusiwi kupiga route nje ya mji, au wilaya moja kwenda nyingine.
 
Back
Top Bottom