Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo ruto hana utajiri wowote wa maana wanampaisha tu

Ni masikini wa kawaida anaetafuna tu pesa za serikali lakini hana tangible investment zaidi ya Viraka vya mashamba Jangwani 😅😅😅

View attachment 1931345

Hata mabilionea wao utajiri mkubwa walionao ni kumiliki hekari za majangwa lakini on the ground hawana mbele wala nyuma 😂😂😂😂
Anayeongea hana hata boti la mbao! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Manu chandaria ni gikuyu? 😂😂😂

Muwashukuru wahindi sana kama sio hao mngeshakufa na njaa wote since 90% ya posho Mills zinamilikiwa na wahindi na 70% real-estates ni wao na waarabu 😅😅😅

Yaani mnakula kwa wahindi na mnalala kwa muhindi 😂😂😂
Mo amewashikilia wabongo! 🤣 🤣 🤣 🤣
 




fieldwork-lake.jpg



oil tanker barges
work-place.jpg





 
Mambo yamewaka moto Diamond League 😁🇰🇪 🔥 🔥 🔥

Congratulations to Team Morans Head Coach Liz Mills for the great recognition from FIBA as the first ever female to Coach a male team at the just concluded FIBA AfroBasket
# TeamKenya
# YouAreTheReason 🇰🇪
Screenshot_20210910_073149.jpg

Congratulations Shehzana Anwar an Olympian from Archery Kenya on being awarded a scholarship to study an executive Masters in Olympic Studie at Cologne, Germany!
# TeamKenya 🇰🇪
Screenshot_20210910_073134.jpg

Sifan Hassan ameangushwa mara mbili (Olympic na Diamond League) na huyu mama, Kipyegon.... 😂 😂 😂 😂 😂 Ataambia nn nchi yake? 😂
Screenshot_20210910_073110.jpg

Screenshot_20210910_073050.jpg

Screenshot_20210910_073030.jpg
 
Cheapest doesn't translate to fastest, some of us rather pay more and get better quality, look at South Africa and Egypt...
Here in Kenya Safaricom holds the largest market despite being the most expensive network, but it's way more reliable.
chief hii benz iliyoota nyasi naipata kwa tril ngapi..?..maana nimeipenda kweli nataka niipeleke serengeti ili niwe napakia chui na swala
JamiiForums-901337732_360x480.jpg
 
Cheapest doesn't translate to fastest, some of us rather pay more and get better quality, look at South Africa and Egypt...
Here in Kenya Safaricom holds the largest market despite being the most expensive network, but it's way more reliable.
Why not set standards to all networks to be reliable and provide quality of service to all?

Don't you guys have the equivalent TCRA (Tanzania Communications Regulatory Authority)?

They ensure the affordability and quality of service. Otherwise una pigwa fine ya maana.
 

Tanzania ratifies treaty for Africa free trade area​


Baada ya mukulu kususia mama kachangamkia opportunity, good news for Kenya and any business smart individual..,

FRIDAY SEPTEMBER 10 2021​

Samia pic

ADVERTISEMENT

The citizen pic

By The Citizen Reporter
More by this Author

Tanzania on Thursday ratified the agreement establishing the African Continental Free Trade Area (AfCFTA), effectively joining a pact connecting countries with a total gross domestic product $3.4 trillion.

Minister of Industry and Trade, Kitila Mkumbo, made the announcement via Twitter, noting the country has joined a market of 1.2 billion customers.

AfCTA was first opened for signing in April 2018 but came into application in 2019 after the requisite minimum of 21 of the 55 member states ratified it.

Tanzania had not formally joined although former President John Magufuli signed on the agreement in 2019.

After signing, parliamentary approval is required for ratification of the agreement.
 
Mo amewashikilia wabongo! 🤣 🤣 🤣 🤣
Mo hajamshikilia mtanzania yeyote, tofauti na ajira anazotoa na kununua mazao ya watanzania hajamshikilia mtu, ninyi kula na kulala ni kwa jeuri ya muhindi, muhindi akiamua kuweka makufuli kwenye estates zake za Nairobi, wengi wenu mtalala City toilets

Muhindi akiamua awawekee sumu kwenye unga wake hakuna mkunya atapona 😅😅😅
 
Cheapest doesn't translate to fastest, some of us rather pay more and get better quality, look at South Africa and Egypt...
Here in Kenya Safaricom holds the largest market despite being the most expensive network, but it's way more reliable.
South Africa ndio hovyo kabisa, hata wao video ya msanii mkubwa kufikisha views million 1 ni kwa mbinde
 
Back
Top Bottom