Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ARUSHA 2035 MASTER PLAN
Screenshot_20210910-120012.jpg
Screenshot_20210910-120532.jpg
Screenshot_20210910-120401.jpg
Screenshot_20210910-120557.jpg
Screenshot_20210910-120129.jpg
Screenshot_20210910-120433.jpg
Screenshot_20210910-115941.jpg
Screenshot_20210910-120237.jpg
Screenshot_20210910-120617.jpg
Screenshot_20210910-120303.jpg
Screenshot_20210910-120337.jpg
 
Huyo jangili anayeweza mnunua yeye na jamii yake yote mara mbili mbili hata zaidi... 😂 😂 😂
Toka lini mtu anaefanya shughuli za ujangili tu akawa na dollars billion 1.6? 😅😅😅😅

Ila wakunya ninyi zero brain kweli

Yaani hata mapato yote ya KRA kwa mwezi hayafiki 1.6 usd billion ndio ije iwe kanchi ambacho hata jumla ya tembo wote hawafiki 1k kawe na jangili billionare hivyo? 😅😅😅
 
Toka lini mtu anaefanya shughuli za ujangili tu akawa na dollars billion 1.6? 😅😅😅😅

Ila wakunya ninyi zero brain kweli

Yaani hata mapato yote ya KRA kwa mwezi hayafiki 1.6 usd billion ndio ije iwe kanchi ambacho hata jumla ya tembo wote hawafiki 1k kawe na jangili billionare hivyo? 😅😅😅
Usijali, tafuta hela kwanza, ukizipata zitumie zikuzoee! 🤣 🤣 🤣 🤣 Usinililie mm
 
Oooh kumbe, ulikuwa wataka kuona Moi Juice, Moi tissue, Moi Spoons, Moi Detergent, nk??? 😂 😂 😂 Akili za wabongo wengi kweli hazioni future! 🤣 🤣
Sio nataka kuona, hiyo ndio business landscape ya investments zenye hiyo networth

Unataka kusema Moi ni tajiri kuliko Trump mwenye multimillionaire investments almost worldwide? Acheni kuwa nyumbu ninyi wing nuts 😅😅😅

Screenshot_20210910-213245~2.png
 
Sio nataka kuona, hiyo ndio business landscape ya investments zenye hiyo networth

Unataka kusema Moi ni tajiri kuliko Trump mwenye multimillionaire investments almost worldwide? Acheni kuwa nyumbu ninyi wing nuts 😅😅😅

View attachment 1932412
Kujibizana na wewe ni kazi bure... Baki na Trump wako na sisi tubaki na watoto, wajukuu na vitukuu vya Mzee Moi.... Ishaisha hiyo 😂 😂 😂 Alafu mwambie Mama asibanie hela, anatutia aibu EA kwa michezo
 
Hizi zote ni briefcase companies special kwa kutapelia pesa za walipa kodi

Sijaona chochote cha maana hapo sababu hazalishi bidhaa hata 1 inayotumika na majority of kunyans mpaka awe na ukwasi wa 3 billion dollars

Yaani Moi anakalishwa chini na Fred Vunjabei 😅😅
Wqe
Hizi zote ni briefcase companies special kwa kutapelia pesa za walipa kodi

Sijaona chochote cha maana hapo sababu hazalishi bidhaa hata 1 inayotumika na majority of kunyans mpaka awe na ukwasi wa 3 billion dollars

Yaani Moi anakalishwa chini na Fred Vunjabei 😅😅
Wewe kweli ni mjinga, kwani lazima mtu azalishe bidhaa ndio akuwe tajiri?😂😂. Mark Zuckerberg anazalisha nini? Bill Gates anazalisha nini?😂😂😂
 
Hizi zote ni briefcase companies special kwa kutapelia pesa za walipa kodi

Sijaona chochote cha maana hapo sababu hazalishi bidhaa hata 1 inayotumika na majority of kunyans mpaka awe na ukwasi wa 3 billion dollars

Yaani Moi anakalishwa chini na Fred Vunjabei 😅😅
Wqe
Hizi zote ni briefcase companies special kwa kutapelia pesa za walipa kodi

Sijaona chochote cha maana hapo sababu hazalishi bidhaa hata 1 inayotumika na majority of kunyans mpaka awe na ukwasi wa 3 billion dollars

Yaani Moi anakalishwa chini na Fred Vunjabei 😅😅
Wewe kweli ni mjinga, kwani lazima mtu azalishe bidhaa ndio akuwe tajiri?😂😂. Mark Zuckerberg anazalisha nini? Bill Gates anazalisha nini?😂😂😂
watanzania wenzangu.. licha ya kwamba kuwa huyu jamaa tayar anajulikana ni muongo.. tuendelee kuzingutia kuwa kwenye maneno kumi ya mkenya ondoka na moja au usichukue kbsa lolote..
niwatakie usiku mwema.. natoka mtoko kidogo wa usiku
Badala ya kulialia hapa si uniambie gani Kati ya hizo vitu nimelist siyo yake😂😂
 
Wqe

Wewe kweli ni mjinga, kwani lazima mtu azalishe bidhaa ndio akuwe tajiri?😂😂. Mark Zuckerberg anazalisha nini? Bill Gates anazalisha nini?😂😂😂
We nyumbu kweli, Facebook ni worlds level media mzee, Facebook, Instagram, WhatsApp za Zuckerberg ndio zinarun world's Internet business we zoba and of course smartphone technology 😂😂😂😂
 
Wqe

Wewe kweli ni mjinga, kwani lazima mtu azalishe bidhaa ndio akuwe tajiri?😂😂. Mark Zuckerberg anazalisha nini? Bill Gates anazalisha nini?😂😂😂

Badala ya kulialia hapa si uniambie gani Kati ya hizo vitu nimelist siyo take😂😂
Zama zake Moi anapeana maziwa ya bure kwa watoto wote wa shule Kenya nzima wakati wa lunch....maziwa ya nyayo yale, sasa atoke Mo ama Mh Samia aige hivyo nitoke JF, wafilisike hawa na kujigamba kwote! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Naona unajichanganya mwenyewe, huyo ni mtoto wa Moi mmoja tu, and we're talking about Moi's family Net worth not his sons'... 😂 😂 😂
Hao wengine wanajishughulisha na nini? Kama bro wao ndio anapambana na hiyo hali? 😅😅😅
 
Back
Top Bottom