toptorn
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,224
- 3,057
Tusisahau kikwete ametoka familia ya machief wa kikwere waliokua wakiuza raia wao kwa waarabu, hata sasa wakwere na wazaramo maeneo wanayoishi yakichangamka kidogo wanauza ardhi na nyumba zao then wanahamia bush zaidiHuyo atakuja kustuka ana miaka 100 ndipo huenda ataanza kujijua anatakiwa apumzike.

