Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tusisahau kikwete ametoka familia ya machief wa kikwere waliokua wakiuza raia wao kwa waarabu, hata sasa wakwere na wazaramo maeneo wanayoishi yakichangamka kidogo wanauza ardhi na nyumba zao then wanahamia bush zaidi

 
Mifukara ya kujitakia , hata bila hii report iko wazi sana raiya wa Tz are very poor ukanda huu, angalia Dar na miji yao hali ya maisha ya watu on average, low life everywhere, standards za kishamba na kizamani kila kona! sishangai Rwanda wako juu ya Tanzania.., laana ya kiaina, u have natural wealth yet nothing to show for it! only a few guys with foreign origin wanatambaa wengine wote mifukara, majority wako jf wanaweka vipicha vya sehemu moja ya Dar angle tofauti kueneza propaganda tu.., balaa
Jinga lingine next
JamiiForums747433385.gif
 
wacha ujinga! Middle income ipelekewe msaada? Ni mwendo wa kulipa! Walivyofungia food exports za Wakulima wa Tanzania na mazao yao yakaharibikia Namanga?
we bongolala hamna siku tumewaomba msaada au kuomba msaada mahali popote....tuna uwezo wa kushughulikia matatizo yetu wenyewe. nyinyi wenyewe hamjawai kumbwa na majanga kama kiangazi lakini bado mnatuma maelfu ya omba omba kwenye nchi za wenyewe so spare us hizi hekaya zenu
 
we bongolala hamna siku tumewaomba msaada au kuomba msaada mahali popote....tuna uwezo wa kushughulikia matatizo yetu wenyewe. nyinyi wenyewe hamjawai kumbwa na majanga kama kiangazi lakini bado mnatuma maelfu ya omba omba kwenye nchi za wenyewe so spare us hizi hekaya zenu
Hatujawaambia watusaidie.....alaf nikama mtu hua kua news ya Kenya daily.....badala mtu akodeshwe n shinda yake anakodeshwa na Kenya akitaka i fail
 
we bongolala hamna siku tumewaomba msaada au kuomba msaada mahali popote....tuna uwezo wa kushughulikia matatizo yetu wenyewe. nyinyi wenyewe hamjawai kumbwa na majanga kama kiangazi lakini bado mnatuma maelfu ya omba omba kwenye nchi za wenyewe so spare us hizi hekaya zenu

Na mbona anatangazia ulimwengu? Kama mnashughulikia matatizo yenu wenyewe na asipokee msaada wa dona!

 
Na mbona anatangazia ulimwengu? Kama mnashughulikia matatizo yenu wenyewe na asipokee msaada wa dona!

kudeal na akili za mtanzania yenyewe ni kazi......serikali hurtangaza state emergency ili kuweka nguvu zaidi kwenye hilo tatizo na wala si kuitisha usaidizi
 
Lahaulaaa kumbe hiki ni chumba kimoja kati ya vyumba tisa vitakavyojengwa, wallahi Magufuli lazima aende peponi tutake tusitake hata iweje, mana kujenga kuta la Berlin kama hili ambalo hata nchi nyingi za ulaya haziwezi co kazi ndogo, ingetuchukua Watz miaka 100 ijayo ndio tujenge dude km hili lkn mwanaume mnyonge kutoka ushambani Chato katuonesha jinsi gani Tz ina power ya kufanya maamuzi na kuyatimiza.View attachment 1928501View attachment 1928502
Jamaa wa kaskzini walijenga kadimbwi wakalinganisha na huu mzigo. Naomba tuwasamehe.
 
Back
Top Bottom