Watapata tabu sana .....zamani wakenya waliokuwa wanakuja huku tz dar es salaam walikuwa hawarudi kwao mfano
MK254 alitelekeza mke na watoto kenya na kujificha tanzania ,wakenya walikuwa wanadhani sababu ni wanawake warembo watz tu kumbe mkenya yoyote akija tz ni kama kaingia peponi,
Pia watz tulikuwa tunadhani wakenya ni wachoyo sana kwa sababu wakija tz sisi tuna wakaribisha hadi majumbani kwetu ila tukienda kwao kenya wanakukimbia hawataki ujue wapi wanaishi wakati huo tulikuwa hatujui kuwa hawa viumbe wanaishi kwa slum nairobi basi tukawa tunawaona wabinafsi na wachoyo kumbe sababu ilikuwa wanaona aibu kutupeleka slum kwao


ila ukiangalia ukweli hata mimi au sisi watz tungekuwa na slum tusinge weza peleka mtu kwa slum ,tunge mchenga chenga mpaka achoke ila home asingepajua
