Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kweli nchi za West Africa zilikuwa gizani baada ya wode maya kuzunguka africa na EA walistuka hata wanigeria sikuizi wameacha kabisa kujipiga kifua kuwa wao wapo vizuri siunaona wakenya walikuwa wanai underestimate dar es salaam sana hadi tulipo wafumbua macho hapa JF nakumbuka wakati uzi unaanzawa kenya walikuwa wanadhani ni mchezo nakumbuka walianza kupoteana humu hadi walikuwa wanaposti project za ulaya wakidai ni kenya wakashangaa watz tunaujua kenya kuliko wao maana kila walicho danganya watz tulikijua kabla ya wakenya wenzao kukijua ,[emoji1787][emoji1787]unakuta mkenya kapost project ya ulaya kuwa ni kenya wakenya wenzake wamempa like kama 20 arafu watz tuna mproof long
Nakumbuka sana, kulikua hakuna watu arrogant kama wakenya towards Tanzania, walishabemendwa sana na wanasiasa wenzao kuhusu Tanzania

Kuna mkenya aliniambia kabla ya social media kumpa ukweli kuhusu Tanzania alikua anachukulia Tanzania kama Burundi hivi au Congo nchi fulani ya kiporipori mno, 😂😂😂

anasema alikua anajua hamna mtanzania yeyote anaweza kutengeneza sentence 2 za kiingereza 😅😅😅

Hakuna watanzania nchi za nje 😄
Dah yaani hakuamini namna tulivyo kimya lakini tuna maisha mazuri kuwazidi,

Leo mambo yamebadilika social media zimewafungua akili japo wengi wao hizo akili hawana, naona saa hivi wanapeana vitasa wenyewe na Tanzania ndio wanaitumia kuchapana 😅😅😅


 
Nakumbuka sana, kulikua hakuna watu arrogant kama wakenya towards Tanzania, walishabemendwa sana na wanasiasa wenzao kuhusu Tanzania

Kuna mkenya aliniambia kabla ya social media kumpa ukweli kuhusu Tanzania alikua anachukulia Tanzania kama Burundi hivi au Congo nchi fulani ya kiporipori mno, 😂😂😂

anasema alikua anajua hamna mtanzania yeyote anaweza kutengeneza sentence 2 za kiingereza 😅😅😅

Hakuna watanzania nchi za nje 😄
Dah yaani hakuamini namna tulivyo kimya lakini tuna maisha mazuri kuwazidi,

Leo mambo yamebadilika social media zimewafungua akili japo wengi wao hizo akili hawana, naona saa hivi wanapeana vitasa wenyewe na Tanzania ndio wanaitumia kuchapana 😅😅😅



Unalazimisha uongo ili iweje? 😂 😂 😂 Kisha wanasiasa wa KE hawana mda wa kuzungumzia Tz, sio wambea ka nyie ujue.
 




MY TAKE
Inakaa kuna kitu hakijakaa sawa wizara ya Kilimo, wiki iliyopita Bashe alikuwa analalamika kuhusu tozo la dengu Shinyanga leo Waziri analalamika kuhusu uingizaji sukari! Inakaa middle men wamerudi na mama kama anasita kutoa msimamo na kuwapa support kusimamia sheria! Hii haileti picha nzuri kuacha wasimamizi wa wizara yako wakilalamika dhidi ya lobbying na influence ya middle men! Inakaa hii Wizara Waziri na Naibu Waziri hawatadumu!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]🦧🦧🦧🦧🦧🦧🦧🦧🦧[emoji204][emoji204][emoji204][emoji204][emoji204]
 
Back
Top Bottom