NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,011
- 19,188
Hiyo hata haifikii Dandora Stadium😂😂Viti vya mbao kumbe, Duh sioni kipya mbone?? 😂 😂 😂
Hiyo hata haifikii Dandora Stadium😂😂Viti vya mbao kumbe, Duh sioni kipya mbone?? 😂 😂 😂
We umeujuaje sasa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ubaya zaidi haujulikani! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Dah aisee
Sasa kama hizi ndio critical tasks za Rais hata watendaji wakiiba billion 2 kila halmashauri atajua kweli? Bandarini saivi washindwe wenyewe!
Ndio huu wenye jukwaa mbili? Alafu once again angalia majukwaa jinsi yalivyowekwa kiubabaishaji, cku likija kudondoka likaua msiseme natural hazards [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo hata haifikii Dandora Stadium[emoji23][emoji23]
Haya mambo ya huyu mama tuwaachie wenyewe, I can assure you wataanza kubadilikana soon mana mama ni mweupe haijawahi kutokea, sisi tu deal na hii miradi tu iishe.kuna watu watamtetea hata kwa hiki.. useless[emoji19]
lengo ni nzuri sana .. ila upande mwingine inaonyesha jinsi alivyo mtalii [emoji848]
Huu hapa unaitwa charcoal stadium upo Tanzania pia [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1915404
Duuuu... Kenya mnawanja mzuri sana. Tanzania awana kiwanja chochote. Uganda na Kenya ndio wenye uwanja mzuriNa huu ndio uwanja mkubwa na wa kisasa zaidi East and Central Africa, upo Kenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1915424View attachment 1915426
Uwa nacheka kweli ghana yote ni sawasawa na dar es salaam tu na accra ni sawa sawa na mwanza tu hata magari wanayo miliki ni mikweche ambaya hapa kwetu unauziwa hadi million 2 tu na mteja upati maana ni gari chovu mikweche ambayo tz unakamatwa na polisi ukithubutu kuendesha barabaraniGDP ni kazawadi Mzungu atakuhonga nacho akiona unazidi kumfurahisha kwa kufata anachotaka
Angalia hii shithole ya Accra inavyopaishwa na beberu kumbe kwa ground ni kama mathare tu
Eti ipo mbele zaidi ya Tanzania
Hii ndiyo accra yenyewe upuuzi mtupuGDP ni kazawadi Mzungu atakuhonga nacho akiona unazidi kumfurahisha kwa kufata anachotaka
Angalia hii shithole ya Accra inavyopaishwa na beberu kumbe kwa ground ni kama mathare tu
Eti ipo mbele zaidi ya Tanzania
She is the fu$$ing President. Anapata wapi huu muda??? [emoji848]lengo ni nzuri sana .. ila upande mwingine inaonyesha jinsi alivyo mtalii [emoji848]
Hii ndiyo accra yenyewe upuuzi mtupu
Hali ya usafiri wa umma Tanzania kuanzia hali ya barabara zetu, mabasi ya abiria, stands na huduma kwa ujumla sioni kama kuna nchi Africa ya kutufikia