Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,789
utakuta Mkunya anabisha mishipa ikimtoka juu ya hili! Vitu kama uhusiano wa flowrate na power generation haviwahusu!Washazoea kumezeshwa habari za uongo na viongozi wao hawa jamaa, ndio maana ata kupambanua mambo madogo wanashindwa, yani bwawa Lao lizidi letu kwa storage capacity alafu lizalishe 20Mw pekee ake izo ni akili za wapi


