Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania cities and towns๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’
 
Pipeline estate nairobi๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿค— joburg vs Nbo how about that๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
2810958_IMG_20210616_152452_913.jpg
 
I feel ashamed comparing a stupid country like tanzania to kenya, hii thread niliijua tangu inaanza lakini nilisema siwezi linganisha kenya na upuzi. Lakini after uzi wetu pendwa kule nairaland kufa ndo nikaja huku.
 
Wakenya hawatoenda motoni nyingine zaidi ya hii ya duniani, labda political leaders only
image_downloader_1629570960707.jpg
 
Wakenya ni raia wapumbavu sn yn wanakubali kuishi maisha ya kinyama wkt mama Ngina na familia yake wanaenjoy national cake
JamiiForums528925064.jpg
 
SGR tumewapiga

Real estate cc ndiyo tunaongoza kwa estates high quality na zenye gharama kubwa.

Umeme ndio sitaki hata kuongelea mana ni aibu, tunajenga the biggest dam ever(Berlin wall)

Maji ni aibu kulinganisha Tz na Kenya, jamaa sahivi imebidi wananchi wafungue viwanda vya mapipa

BRT hawana hakuna haja ya kuweka hapa.

Cable bridges hawana hakuna haja.

Airports huwezi linganisha zizi la ng'ombe na modern Airpot.

Stadiums

Residentials tuko juu, wao wanaishi nyumba ambazo hazina madirisha.

Ships ni upumbavu ku compare, mana cc tunajenga ships kubwa wao wana Mitumbwi.

Hali ya maisha kati ya wananchi iko dhahiri, wkt raia wa Tz wanachagua misosi jamaa wanapika mawe
 
Back
Top Bottom