Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Kuna majeshi ya nchi zingine ni bure kabisa kama Kenya tuu sasa hawa wa Ethiopia sijui wanafeli wapii
Ukiangalia kwa jicho la kichumi utaona kwanini Tanzania ni first most inclusive economy in Africahio habari kwenye headline ndo itakuwa endelevu.. hawatatuzidi tena hao wapuuzi.. it’s like 160km/h [emoji1241] vs 120km/h [emoji1139] speed..
View attachment 1889199
Unadanganya. Meli iliyotumika ni meli ya Kenya.Kumbe Lamu level zake ni Zanzibar? 😅😅😅
Na ilifanya transhipment au ni meli (local mashua) ilitoka Zanzibar kisha ikapitia Lamu baada ya kuishia Somalia?
Walichukua containers ngapi?
Kwa taarifa yako mzigo wenye mshiko kwenye bandari ni ule unaoingia sio unaotoka, Lamu bado ni white elephant na halitabadilika hilo ndani ya karne hii!
Ukiangalia kwa jicho la kichumi utaona kwanini Tanzania ni first most inclusive economy in Africa
Angalia vitu tunavyoongoza kuwauzia wakenya kama mbao, mahindi, mchele, veggies, beans, edible oils, cotton etc
Ni vitu vinavyozalishwa Tanzania by 100% na majority ya watanzania hivyo hiyo pesa inaenda kwa mtanzania moja kwa moja
Tofauti na wao wanatuuzia vitu ambavyo havijazalishwa Kenya by 100%, vyote wanavyotuuzia are primarily manufactured abroad vikawa tu completed in Kenya na those fabricators ni monopolies so hata faida yake haijatawanywa kwa wakenya wa kawaida kutokana na nature ya uzalishaji!
Yeah, yaani Tanzania ni nchi ambayo mtanzania wa kawaida na mtanzania tajiri wote wanaweza kuingiza bidhaa kwenye soko la Kenyapia hizo products zao ni za viwandan (matajiri wenye hela) kwetu wakulima na wenye viwanda wote wanafaidika..
exclusive [emoji1139] vs (inclusive&exclusive) [emoji1241]
What's your point.Yes i see 😆😆😆😆
View attachment 1887618
Umekasirikasawa Naipori Governor
Kajilipua bila kujua, uchumi wetu umekua sana ndo maana tunaexport manufactured goods kwenu ilhali nyinyi mnaleta rain fed crops😂😂😂Ukiangalia kwa jicho la kichumi utaona kwanini Tanzania ni first most inclusive economy in Africa
Angalia vitu tunavyoongoza kuwauzia wakenya kama mbao, mahindi, mchele, veggies, beans, edible oils, cotton etc
Ni vitu vinavyozalishwa Tanzania by 100% na majority ya watanzania hivyo hiyo pesa inaenda kwa mtanzania moja kwa moja
Tofauti na wao wanatuuzia vitu ambavyo havijazalishwa Kenya by 100%, vyote wanavyotuuzia are primarily manufactured abroad vikawa tu completed in Kenya na those fabricators ni monopolies so hata faida yake haijatawanywa kwa wakenya wa kawaida kutokana na nature ya uzalishaji!
BothKajilipua bila kujua, uchumi wetu umekua sana ndo maana tunaexport manufactured goods kwenu ilhali nyinyi mnaleta rain fed crops😂😂😂