Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna jamaa kaniambia leo kwa mara ya kwanza bandari ya Dar imeshusha magari elfu tatu miasaba na ushee ..unambiwa haijawai tokea ukanda huu kushusha magari meingi hivyo kwa pamoja....ngoja nitafut pia kama wameweka mitandaoni nitai share
Ni kweli kuhusu Hilo ndo nikaweka source juu
Tranquil ace Panama meli kubwa Zaid kutoka Japan ndo walikuja na mzigo huo 😃
 
Kuna jamaa kaniambia leo kwa mara ya kwanza bandari ya Dar imeshusha magari elfu tatu miasaba na ushee ..unambiwa haijawai tokea ukanda huu kushusha magari meingi hivyo kwa pamoja....ngoja nitafut pia kama wameweka mitandaoni nitai share
Unaambiwa jumla ya magari yaliokua kwenye meli Hilo 3743 na ni mara ya pili DSM port ili offload idadi kubwa ya magari na kuweka historia Africa mashariki!
Last time ilikuwa 2600 kwa mara moja Ila saiv idadi imeongezeka kwa kiasi kikubwa👏👏
 
Kuna jamaa kaniambia leo kwa mara ya kwanza bandari ya Dar imeshusha magari elfu tatu miasaba na ushee ..unambiwa haijawai tokea ukanda huu kushusha magari meingi hivyo kwa pamoja....ngoja nitafut pia kama wameweka mitandaoni nitai share

IMG_0885.jpg

IMG_0882.jpg

IMG_0883.jpg

IMG_0884.jpg
 
Wewe inakaa shule ndo hujasoma vizuri ndo maana ni ngumu kuelewa maneno ya GDP... GDP ya nchi ikiwa kubwa it means monetary value of all finished goods and services made within that country kwa that specific period was high so meaning hata kama we might be buying some food from you, other sectors like manufacturing, other forms of agriculture we way ahead of you causing our GDP to rise.

Good boy, now class clap your hands for mainan.
Okay, another question; why GDP is not a good measure of citizens welfare of a given country!!?
 
Na mama wa tz akizaa na foreigner sheria ya tz haomtambui kama ni mtz bali inamtambua kama raia wa nchi aliyotoka baba yake
Hivi hii sheria huwa inamnyima uraia mtoto aliyezaliwa Tanzania na mama mtanzania (baba mgeni)?
 
Kweli sasa impact ya port expansion inaonekana
Kuna brother angu ni engineer kwenye both projects DSM port na Airport JNIA anasema Wanachokifanya kwenye both projects ni kuhakikisha wanaweka mfumo wa technology ambao utakua wa kipekee east and central Africa! in the future hizi projects zitakua hazina mpinzan kwa hiyo ni subira maana yajayo yanafurahisha tuwe tayari.
 
Kuna channel ilikua inaonyesha live kule youtube,niliicheck ile meli
Kuna jamaa kaniambia leo kwa mara ya kwanza bandari ya Dar imeshusha magari elfu tatu miasaba na ushee ..unambiwa haijawai tokea ukanda huu kushusha magari meingi hivyo kwa pamoja....ngoja nitafut pia kama wameweka mitandaoni nitai share
 
Back
Top Bottom