Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watu sai wanaongelea expressways nyinyi ndio mnajenga highway sai
It all depends on how you define the term highway, keep in mind not all countries use the word expressway. Some countries use freeway (instead of expressway) to mean roads without intersection, including highways.
 
It all depends on how you define the term highway, keep in mind not all countries use the word expressway. Some countries use freeway (instead of expressway) to mean roads without intersection, including highways.
Ona zuka lingine nalo limekuja kujitia ali kujua, kwni uliulizwa..

Kwhyo hyo yenu ni freeway, emu nichekeshe kwanza mzee kabla sijaenda znagu kulala
 
Heb lata picha ya daraja hata moja la KE ambalo tunaweza liweka viwango sawa na Madaraja ya bongo
Eti viwango[emoji1787][emoji1787]
Usinichekeshe, kupiga kazi 40yrs sio kiwango sio..
Nyie kubalini tu km mumezinduka karne hii wavivu wa dunia
 
Yani imagine mtu anazaliwa mpka anakua mtu mzima lkn hajui bridge wala flyovers km zinakaaje..sasa mumeanza kuvipata juzi basi imekua duniani kote hakuna km nyinyi
Watz bana Sama boy 255
 
Yani imagine mtu anazaliwa mpka anakua mtu mzima lkn hajui bridge wala flyovers km zinakaaje..sasa mumeanza kuvipata juzi basi imekua duniani kote hakuna km nyinyi
Watz bana Sama boy 255
No usininukuu vibaya, sijasema duniani kite hakuna lahasha.!! hapa comparison ni sisi na nyinyi..😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23], Acha maneno mengi leta picha ya daraja kijana ..au hakuna.?
Make google your friend[emoji1787][emoji1787]
Jamaa unashindwa utatokea wapi maskini, yani mtu mzima umeanza kuona daraja juzi[emoji1787][emoji1787]
 
No usininukuu vibaya, sijasema duniani kite hakuna lahasha.!! hapa comparison ni sisi na nyinyi..[emoji23][emoji23]
Hakuna comparison na mtu ambae amezinduka sai[emoji1787]
Unashtuka na madaraja karne hii, kweli mbumbu ni mbumbu
 
Make google your friend[emoji1787][emoji1787]
Jamaa unashindwa utatokea wapi maskini, yani mtu mzima umeanza kuona daraja juzi[emoji1787][emoji1787]
😂😂😂, Owky leta bas hata picha za Madaraja matano tu, najua kwenu hakuna madaraja mazuri Ila leta ivyo ivyo ntakufikiria 😂
 
Mtu unazaliwa mpka unamea matege yanakomaa lkn bado hujawahi kuona madaraja
 
[emoji23][emoji23][emoji23], Owky leta bas hata picha za Madaraja matano tu, najua kwenu hakuna madaraja mazuri Ila leta ivyo ivyo ntakufikiria [emoji23]
Madaraja mazuri[emoji1787][emoji1787]
Niletee daraja la bongo ambalo limemaliza miaka 20 na bado lipo imara
 
Hakuna comparison na mtu ambae amezinduka sai[emoji1787]
Unashtuka na madaraja karne hii, kweli mbumbu ni mbumbu

Madaraja mazuri[emoji1787][emoji1787]
Niletee daraja la bongo ambalo limemaliza miaka 20 na bado lipo imara
😂😂😂, Woooiii, sasa hamuoni aibu mnakua wa kwanza kuwa na Madaraja alafu sie tumeanza juzi tu tumewapita hovyo hovyo, kuanzia wingi wa Madaraja mpaka quality , kama China na Japan tu au sio.? 😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23], Woooiii, sasa hamuoni aibu mnakua wa kwanza kuwa na Madaraja alafu sie tumeanza juzi tu tumewapita hovyo hovyo, kuanzia wingi wa Madaraja mpaka quality , kama China na Japan tu au sio.? [emoji23][emoji23]
Mumetupita madaraja au nyie ndio mlizembea licha ya kua na mito mingi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umekosa daraja la 20yrs[emoji1787][emoji1787]
Kisha unataja quality kw mtu amabae tayari yake yana takribani miaka arobaini[emoji16][emoji16]nimekucheka kw dharau
 
Eti china na japan[emoji1787][emoji1787]
Japan keshamaliza matatizo yake kw sehemu kubwa tena sana, china ndio bado anapambana a fix..

Sama boy 255 umepanic
 
Mumetupita madaraja au nyie ndio mlizembea licha ya kua na mito mingi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umekosa daraja la 20yrs[emoji1787][emoji1787]
Kisha unataja quality kw mtu amabae tayari yake yana takribani miaka arobaini[emoji16][emoji16]nimekucheka kw dharau
Acha upumbavu Kenya nayo Ina mito, maziwa na bahari, tumewapita kwasababu hamtuwezi kwenye hiyo sekta 😂😂 kwani ukikubali ukweli utakufa.?
 
😂😂😂, Woooiii, sasa hamuoni aibu mnakua wa kwanza kuwa na Madaraja alafu sie tumeanza juzi tu tumewapita hovyo hovyo, kuanzia wingi wa Madaraja mpaka quality , kama China na Japan tu au sio.? 😂😂
That is because we focusing on other things things like wind power it will take years before muanze and our technology you cant really compare so nyinyi kujenga sijui a one km bridge exite's you shows we are far apart and have diffrent priorities
 
Back
Top Bottom