Organized how? The only city without online delivery services kwa hio list yako.Yes New York London tokyo Dar es salaam and many more
Organized how? The only city without online delivery services kwa hio list yako.Yes New York London tokyo Dar es salaam and many more
Umeona Dar ilivyo kubwa eehh tatizo nyie kima mna ugonjwa wa kusahau sahau kama ndezi, kesho tu utalinganisha tena Dar na Nairobi wkt msimbazi tu kubwa kuliko NairobiHohoho msimbazi ni kubwa labda kuangushwe nuclear bombs tatu.View attachment 1865129
Kisutu inawapa shida sana hao wakuja.See you later on View attachment 1864944
Wanaiogopa Kijitonyama kama jelaAliekwambia kijitonyama nani hio ni sam nujima road jengo hili hapa ona ulivo fala hapo panaitwa mawasiliano na sio kijitonyama
View attachment 1865137
🇰🇪✊🔥🔥Team Kenya ....Mainly Volleyball and Rugby. The Athletes...the real MVP's arrive later!!!!
View attachment 1864972
View attachment 1864973
View attachment 1864974
View attachment 1864975
View attachment 1864976
View attachment 1864977
View attachment 1864978
View attachment 1864979
View attachment 1864980
View attachment 1864981
View attachment 1864982
Huwa hatuendi tofauti na render
Acha kuokota pictures weweHohoho ebu pindua kamera kidogo tuone msimbaziView attachment 1865064View attachment 1865065
KICC ileeeMama ngina aliwatia ukichaa View attachment 1865149
Alikuwa hajui msamehe bureWw unamacho kweli ???
View attachment 1865154
Siku hizi wanatumia mask kujificha wkt wanafanya uhalifu
Aisee hii train au Mall, itawachukua Wakenya miaka 700 kufika hapa tulipoWakenya tambueni hapa ni ndani ya train to kigoma.
View attachment 1865157View attachment 1865158View attachment 1865159
Haya msimbazi hiyo hapoHohoho ebu pindua kamera kidogo tuone msimbaziView attachment 1865064View attachment 1865065
Kaipenda huyoYani hawa jamaa ni wavivu mpaka bendera yao wanabebewaView attachment 1865089
Huku ndipo nyumbani kwake.Gas had been used in kenya since waaay back nkt sahii ndo inafika tanzania??? Even 50 % of taxis use gas here
Leo ushagundua kwamba kabla ya kufika kkoo lazima upite kisutu au sio, sasa ambia wakunya wenzako kwamba posta to kkoo it's more than 3kmUpanga Kisutu hadi Kariakoo unganisha yote inatoshana na Ngara pekee.
Aibu tupuhebu leta referr
lete zenu tuone zinakaaje?
Tukianza na hii!
au hii!
Ikiwa mpk wa leo bado pori.Tena sehemu hii ya Dar tangu 80s iko hivyohivyo except for a few new buildings. Sasa sijui Nairobi miaka hiyo ilikuwaje.
Hapa pekee kuna buildings kibao kuliko Kenya nzimaHaya msimbazi hiyo hapo View attachment 1865185
Ule uzi wa cost comparison kwenye sgr wamesusa kisa bullet train dah.Hasira zote za wakenya zimeletwa na bullet train ndugu zangu watanzania tuendelee kuwatia moyo wenzetu na kuishi nao vzr tu manake hakuna namna ya kufanya
Kuchoma moto na kunyukana nayo ni protest?Those are protest si kunyukana